Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,036
- 9,331
Mchambuzi ni lazima utambue kwamba ili kupambana na rushwa ni lazima upambane na wala rushwa/watoa rushwa,haiwezekani kupambana na rushwa kutoka hewani pasipo kuwa na target.
kuwataja wala rushwa ni mbinu ya kwanza ,kwa sababu wala rushwa wapo na baadhi yao wanajulikana.Sera ni nini? ni mipango ambayo mara nyingi ipo katika Maandishi tu!,Na kama hizi sera hazitekelezwi matokeo yake ni nini? always yatabaki ni maandishi tu! na hakuna result yoyote ya msingi itakayopatikana,
Sasa bwana Mchambuzi inaelekea wewe ungependa sana wapinzani wawe na Sera nyingi nzuri nzuri kwamba tutafanya hiki na kile,n.k,lakini hutaki kukubali kwamba wapinzani bado wana kazi ya ziada zaidi ya kuwa na sera hizo,Kazi yao nyingine ni kuwakosoa watawala kwa yale ambayo yanakwenda kinyume na maslahi ya taifa kiujumla. inapotokea wapinzano wakawajua Wala Rushwa kwa nini wasiyaanike majina yao wazi jamii ikawafahamu, au unataka wakashitaki mahakamani kwanza,au TAKUKURU ndo utaridhika kwamba kweli wapinzani wanafanya kilicho sahihi?.
wala rushwa kama wanajulikana hawana budi kuwa "exposed" na ikibidi kuzomewa na pia kuchukuliwa hatua kali za kisheria ,hao watu wanawatia mamilioni ya watu katika mateso makuu kwa sababu ya ubinafsi uliokithiri ,hii mbinu ya Mrema na Slaa safi sana
kuwataja wala rushwa ni mbinu ya kwanza ,kwa sababu wala rushwa wapo na baadhi yao wanajulikana.Sera ni nini? ni mipango ambayo mara nyingi ipo katika Maandishi tu!,Na kama hizi sera hazitekelezwi matokeo yake ni nini? always yatabaki ni maandishi tu! na hakuna result yoyote ya msingi itakayopatikana,
Sasa bwana Mchambuzi inaelekea wewe ungependa sana wapinzani wawe na Sera nyingi nzuri nzuri kwamba tutafanya hiki na kile,n.k,lakini hutaki kukubali kwamba wapinzani bado wana kazi ya ziada zaidi ya kuwa na sera hizo,Kazi yao nyingine ni kuwakosoa watawala kwa yale ambayo yanakwenda kinyume na maslahi ya taifa kiujumla. inapotokea wapinzano wakawajua Wala Rushwa kwa nini wasiyaanike majina yao wazi jamii ikawafahamu, au unataka wakashitaki mahakamani kwanza,au TAKUKURU ndo utaridhika kwamba kweli wapinzani wanafanya kilicho sahihi?.
wala rushwa kama wanajulikana hawana budi kuwa "exposed" na ikibidi kuzomewa na pia kuchukuliwa hatua kali za kisheria ,hao watu wanawatia mamilioni ya watu katika mateso makuu kwa sababu ya ubinafsi uliokithiri ,hii mbinu ya Mrema na Slaa safi sana