Mchambuzi,
Mimi kidogo nianze kukubaliana na wewe ulipoweka hoja moja tu... what are we gonna do about it?... Hii ikitukusanya sote ktk pakacha moja linalovuja...
Nachoshindwa kuelewa ni pale wewe na Mtanzania mnaweka madai yenu dhidi ya Mh. Slaa na Mrema kwa sababu tu hawa watu wanatoka vyama vya upinzani!. Sijaona hata sehemu moja mkipinga na kutoa maelezo yenu kukanusha siasa hizi za fitna isipokuwa mnachokifanya ni kubisha, kuomba ushahidi wakati nyie wenyewe roho zenu zinawasuta kwa kumezeaukweli uliokuwa wazi.
Kina slaa na kabwe hawaji na kitu kipya. Ni ile ile approach iliyofanywa na kina mrema, mtikila as upinzani na pia kina warioba, hassy kitine wakiwa wana ccm. Nothing changed. Wakija hawa watafanya yale yale ambayo wanayanyooshea vidole. Mwananchi akipigia kura upinzani just because wanasema watasimamia vita dhidi ya rushwa kwa nguvu, wanasiasa wa namna hii ni wa kuwakimbia kama ukoma. There is more to that. We need sustainable approaches ambazo zita lead to sustainable solutions, kwa mifano kama hiyo ya china ambayo ni correct in all colors. Lakini so far upinzani hauonyeshi anything like that. As a result, mimi naishia kuwa na view kwamba we still can correct CCM ikatupeleka kuzuri kwa sababu kuna baadhi ya viongozi kama mwandosya ambao i believe they can do good for our country.
Pia EL i am not ruling him out as long as anajirekebisha kama alivyosema mwalimu. Najua hii hoja inawachoma wengi sana humu na pia inaonekana nimo humu kumfagilia EL. Mimi bado nina imani sana na ccm kama chama cha kutuongoza na viongozi naodhania wanao huo uwezo ni kama mwandosya, lowassa mwenyewe, vijana chipukizi kama tom mwang'onda, john nchimbi, Dr. Buriani, Dr. Migiro na wengine wachache. Haya ni maoni yangu, tujibishane kwa hoja, sio matusi jamani.
Msisahau kwamba hata mwalimu saw a lot in Lowassa na akasema akijirekebisha anayo nafasi nzuri. tazama tena ile interview ya nyerere on ITV 1995. Tatizo on lowassa ni kwamba nyerere alimweka hadharani na hiyo ndio ime set tone for the rest of his political career. But believe me or not, lowassa ni kifaranga, kuna ma mbuni.
Again, lowassa ile issue ya nyerere imem affect sana and it makes him panic and work to prove the public wrong. Hii ingeweza mtokea mwasiasa yeyote kama angechafuliwa na sumu ya nyerere. You end up performing based on proving something to the public. What EL needed and still needs ni washauri wazuri.
2015, ni EL au Mwandosya. Nje ya hapo ni some body else ambao mtandao will put kum challenge Mwandosya assuming mwandosya will remain nje ya mtandao.