Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,273
kwi kwi kwi kwi..
SteveD na kakobe wapi na wapi....
he he he, naona hajui dozi ya 'heavy duty' niliyopatiwa na Nyani...lol
SteveD.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwi kwi kwi kwi..
SteveD na kakobe wapi na wapi....
Waungwana,
Inaelekea ule msemo wa kifo cha nyani miti yote huteleza unajionyesha wazi hapa nyumbani. Yaani siwezi amini kuwa baada ya ile circus ya jana ya Karamagi na waandishi ambayo kwa taarifa ni kuwa alijipeleka kinyume na ushauri wa wengi bado Mzee makini kama Mgonja naye anaweza kuingia mkenge. Angalijua bomu lingene linalokuja ambalo kamwe hawezi kujinasua sidhani kama angefanya kosa hili la kujiweka katika spotlight.
Kuna taarifa kuwa nyang'au mkuu alitaka kuwasweka kina Zitto ndani akichukulia mwanya wa mwenyenchi akiwa nje lakini kabla ya kutekelezwa mwenye nchi akamshukia na mvua na kuwaarifu waliotwa manyang'au wote wajisafishe wao bnafsi bila ya kutumiwa mabavu ya dola. Na huu ndio ulikuwa msimamo wa Karamagi jana kuwa yeye alikuwa pale kama Karamagi binafsi na anajisafisha yeye binafsi ingawa katia statement yake amejitambulisha kama Waziri wa Nishati na Madini.
Inaelekea UTATU HARIBIFU unabomoka kwa mwendokasi wa mwanga....
Tusbiri kesho nini kitajiri....maana siku hizi ni uloda tu kwetu sisi wambeya wa kisiasa...
Tanzanianjema
Wantanzania wenzangu, natumaini yale tuliyo yasema kwenye THREAD HII JINSI YA KUWASILIANA NA WABUNGE WA UINGEREZA sasa yamepata dawa, kwa sababu tumerahisishiwa kazi ya kutafsiri nakala tuliyokuwa tunaiongelea, miye naona kila mmoja wetu akiweza anaweza kwenda kwenye KIUNGANISHI HIKI AMBACHO KINA LIST YA WABUNGE WOTE WA UINGEREZA kisha bonyeza pembeni kulia kwenye wale wenye email address na kuwapelekea ujumbe huo juu baada ya ku-copy and paste na kuandika yafuatayo kama kichwa cha habari.
WAANDIKIE TU YAFUATAYO: "Dear Sir/Madam, I am a concerned Tanzania citizen and recognise that your Government, United Kingdom is a major contributor to progress, socioeconomic and other developments in our beloved nation. I kindly ask you to take part of your precious time to read through the following article and hopefully you will be touched and take decisive measures hence to assist in the sustainability and transparency of our government. Many thanks."
Sasa kama kunawataalam wa lugha na barua naomba waisahihishe hii na kuifanya iwe fupi na nakifu zaidi kama inawezekana.
MUHIMU: Naomba kama unafanya hivyo uandikie wabunge angalau wawili tu, ukizidisha utakuwa una abuse uhuru wako wa kutoa maoni na hivyo hiyo email inaweza kuwa classified as spam, na kuwa automatically deleted.
Pia kama kuna wengine ambao wanaweza kupata contacts za nchi nyinginezo naomba mziweke hapa. Ahsanteni.
SteveD.
Mkuu Tanzanianjema, hawa Waungwana hawaendi kwenye Press Conference kwa ridhaa yao.Mkuu wa Kaya katoa Maagizo ya kufanywa hivyo!,Kawaomba Watoe maelezo kwa wananchi na kwake Binafsi kuhusu kashfa zote zilizoandikwa kwenye paper ya Dr.Slaa.Atajieleza mmoja baada ya mwingine kabla ya mwenye Nyumba kuja Hitimisha atakaporudi Bongo!.Kuna maelezo kuwa Mkuu alibanwa na watu wa World Bank alipokutana nao Washington DC.Hao Waungwana wana vigezo vyote vinavyoonesha Ubadhirifu kwenye serikali ya JK haswa issue ya BOT.Kama kuna Mkombozi wa kweli hapa basi ni Kabwe!!!kwa sababu Hoja yake Binafsi Bungeni ndio imeleta hili songombingo lote.Kuweni makini Mh.Karamagi ana press Conference Jumamosi,anajiandaa kuzungumzia issue ya Mkataba wa Buzwagi,inaweza kuwa ikawa mwisho wa Uwaziri wake siku hiyo!!!
Wakuu naomba Msaada hii report iwekwe kwenye pdf ili tuiwakilishe kwa urahisi sehemu mbalimbali,ni vyema zoezi hili lifanyike haraka wakati issue bado hot.
Heshima mkuu,Nakupa tano mkubwa.Ngoja niangalie nianze na yupi
Ushawahi kusikia mtu anapewa kamba ya kujinyongea... ? Kuna mtu kibarua chake kinakaribia kuota mbawa!