List of Shame ya waliosababishia hasara Tanzania. Taja uwajuao

Kuna ile mwamba ilikula hela za atc kipindi hiyo ikauwa shirika shwaaaaaa alafu saa ya kustaafu anasifiwa mafanikio yake ni kubadili nembo ya atc mamaeeee

Hapo kwenye control number umechemka. Ni jambo jema sana hilo
 
Ila naona IQ yako ndogo sana,

Mnatumia nguvu kubwa sana kumtukana na kumchafua marehemu ila bado sana. JPM ayupo ila bado mnapata tabu sana kwa mambo yake na legacy yake.

King toka tanganyika ipate uhuru, kwa mtazamowangu mimi naona JPM ni bola ya maraisi wote wa Tanganyika. Maana ktk uhuru walikuwa wengi walihusika ila mmoja ndo alitaka aonekane peke yake ndomana nmemtoa, sky na wengine wengi wazee walipambania uhuru.

JPM alikuwa jiwe kweli 📌, ila nadhani ndo mwanzo wa kuja jpm wengine wengi mbeleni uko. Team team zote hizo zitaisha. Muda muhimu sana .......
 
aliyeanzisha Simba na yanga hizi timu zipo kisiasa hili kuwafanya vijana kuwaza mpira 24/7 huku wao viongozi wakigawiana vyeo na watoto BOT n.k
Kuna sehemu nilisema humu nchi yetu bado ni changa. Hatujawa na uchumi na system ya kuanza kuipa michezo na sanaa kipaumbele. Marekani na Ulaya wanajadili ushoga, sanaa na michezo kwa sababu hawana shida ndogondogo. Sasa tupo katika nchi ambayo haina miundombinu ya uhakika. Mvua ikinyesha mambo hayaendi. Halafu ukiangalia mitandaoni na magazeti kinachojadiliwa ni mpira na wasanii. Huku Serikalini wafu wanapeana vyeo na kujibebea ugali wao. Serikali inaongozwa kishabiki badala ya kitaaluma.
 
Kaka mwenye IQ kubwa asante na naomba yafuatayo:-
1. sema wapi nimemtaja JPM?

2. Ukiwa kiongozi wa umma, hata ukifa matendo yako dhidi ya nchi yatakufuata, wewe kwanini na akili yakikubwa[najua ni mhaya] ulijifunza na kuamini Iddi Amin alikuwa dikteta na alikula nyama za watu huku mochwari?

3. Niambie aliyeharibu ni nani na JPM [mungu wako] alirekebisha wapi?

4. Wewe ni Genious na IQ kubwa lakini huna tofauti na profesa wa jalalani, hujui historia, ukisoma hapo hao watu waliotusababishia hasara utaona wapo toka kabla ya 1960 mpaka 2023.

5. Una udini sana na wadini kama wewe huwa wanataka akina Sykes na bi Titi wawekwe kama wapigania uhuru lakini hakuna pahala ambapo wanakuwa mastaa wawili. Kama huna habari , Mzee Mbowe-baba yake Freeman akishirikiana na Mangi Mareale walichanga fedha za Nyerere kwenda UK kuomba tupewe uhuru na si kupigania kama huko kwenu namanyere ulivyofundishwa kijiweni, je Ushasikia wachagga wakigombea Mbowe na Marealle wawekwe kwenye historia kuwa ndio mababa wa Taifa?

6. George Washington , 1789 aliapa kama Raisi wa Kwanza wa Marekani baada ya vita ndefu kudai uhuru na kuunganisha majimbo;ulishasikia akitajwa mtu mwengine zaidi ya Ashington? Kwani WAshington alikuwa mwenyewe kwenye kupambania USA?


#Mpumbavu ni mtu aliyefika kiwango cha kutofundishika.
 
Upo sahihi
 

Nilivoona umesema hata CONTROL NUMBER nikagundua ww n zuzuuu!! sina cha kuchangia tena kwenye huu uzi

Control number imepunguza urasim mkubwa sana ! halafu we tahira unakuja kubwabwaja hapa
 
Aliyeuza Viwanda vyetu.

Aliyetuita makabwela

Aliyegawa loliondo, ngorongoro, bandari
 
No. 23 hivi BIMA Kwa watoto imefutwa..? Msaada ndg. Zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…