List of Shame ya waliosababishia hasara Tanzania. Taja uwajuao

List of Shame ya waliosababishia hasara Tanzania. Taja uwajuao

Ila naona IQ yako ndogo sana,

Mnatumia nguvu kubwa sana kumtukana na kumchafua marehemu ila bado sana. JPM ayupo ila bado mnapata tabu sana kwa mambo yake na legacy yake.

King toka tanganyika ipate uhuru, kwa mtazamowangu mimi naona JPM ni bola ya maraisi wote wa Tanganyika. Maana ktk uhuru walikuwa wengi walihusika ila mmoja ndo alitaka aonekane peke yake ndomana nmemtoa, sky na wengine wengi wazee walipambania uhuru.

JPM alikuwa jiwe kweli 📌, ila nadhani ndo mwanzo wa kuja jpm wengine wengi mbeleni uko. Team team zote hizo zitaisha. Muda muhimu sana .......
Jiwe wafuasi wake wengi walikuwa ni watu kama wewe. Yaani masikini na wenye IQ ndogo sana. Sasa kama mtu anaandika JPM ni bola unadhani huyo ni mtu wa aina gani. Anyway ndiyo maana nchi ina watu viongozi kama Bashite na bado tunataka maendeleo.
 
Reginald Mengi aliwataja mafisadi papa watano;
Rostam Aziz
Jeetu Patel.
Wengine siwakumbuki,nadhani alimtaja Somaia brother mmoja
Anasema hawa utawakuta katika kila kashfa,Richmond,EPA,ESCROW[you name it]
 
Back
Top Bottom