Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #61
KafungwaYuko upande gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KafungwaYuko upande gani
Why?Kim Jong Un, a Celebrity in a negative way.
Uchaguzi wa marekani ni wa kishenzi tu.Afu si raia wote wanachagua Rais, kuna kitu kinaitwa popular votes ambazo hazikupatii ushindi.
Kuna madhara tena makubwa sana kuruhusu mabumbumbu kuchagua kiongozi huyu mkubwa kabisa wa nchi.Uchaguzi wa marekani ni wa kishenzi tu.
Trump anashinda mapema sanaaSema siasa za marekani zina mahesabh makali saana jua linaweza kuzama ukiamini ni Trump kukicha unashangaa ni kamala
Mapema sana.Trump anashinda mapema sanaa
Hizo bange zako sehemu nzuri ya kuvutia ni chumbani kwa dada yako kitakachofuata ni mshikemshike viwanjani.Kama yule dhalim alivyofanya ushenzi 2019 na 2020.
Mbona povu, marinda utatuliwe huko hasira uniletee mimi, tamaa zako ndiyo zimekuponzaHizo bange zako sehemu nzuri ya kuvutia ni chumbani kwa dada yako kitakachofuata ni mshikemshike viwanjani.
Tusubiri tuone. ....Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani
Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.
Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.
Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.
View attachment 3139102
Ingekuwa vizuri ukajiridhisha maana ya popular votes na electoral college.Afu si raia wote wanachagua Rais, kuna kitu kinaitwa popular votes ambazo hazikupatii ushindi.
Umeshampa haki ya kikatiba dada yako ? hongera ila umekosea kuingia kwa njia ya kwa [/QUOTE]Umeshampa haki ya kikatiba dada yako ? hongera ila umekosea kuingia kwa njia ya kwa Mpalange.Mbona povu, marinda utatuliwe huko hasira uniletee mimi, tamaa zako ndiyo zimekuponza
Umeshampa haki ya kikatiba dada yako ? km tayari hongera ila umekosea kuingia kwa njia ya kwa mpalange.Umeshampa haki ya kikatiba dada yako ? km tayari hongera ila umekosea kuingia kwa njia ya kwa
We ndiyo usome hapa itakusaidia..kwamba unaweza kupata popular votes lakini usiwe Rais wa Marekani kama mama Cliton.Ingekuwa vizuri ukajiridhisha maana ya popular votes na electoral college.
Ni given lazima Trump atashinda hata bila kupepesa macho na huu ndio msimamo wa wamarekani.Mimi kwa mtizamo wangu na kulingana na kura za awali na imani
Donald Trump atashinda uchaguzi wa Marekani, ambao unategemewa
kufanyika tarehe 5 November 2024.
Kwa sasa Marekani inamuhitaji sana mtu kama Donald Trump kwani Marekani
ina maadui wengi hivyo inahitaji Raisi shupavu, kete hii inambeba sana hasa
kwa wahafidhina wa Marekani.
Donald Trump akishinda na kuwa Raisi dunia itachangamka. Poleni sana
Shithole Countries msiopenda Donald Trump msema kweli.
View attachment 3139102
Kwa katiba hii ya kwetu ww unahc tulishawai kupata rais bora?Wale wana mifumo inayofanya kazi, Katiba yao ni bora pamoja na sheria zao katika kila jimbo, pia Mahakama zao zipo huru ambapo Rais akifanya ujinga anapandishwa kizimbani bila shida.
Kwa wenzetu hata wakipata Rais wa sampuli ipi, maamuzi critical ya nchi yanafanywa na Rais pamoja na Bunge. Wasipoelewana basi Mahakama yao inachukua nafasi kuona yupi yupo sahihi kulingana na Sera / sheria zao.
Kwetu hapa kwa Katiba hii ndugu zangu ukapata Rais wa ajabu - utaimba haleluya.
Uliona mbali sana!Trump ni dhaifu sana.
Wapi waliizungumzia marekani katika maandiko?Uko sahihi kabisa. Utawala mkubwa duniani ulioibuka wakati utawala mwingine mkubwa duniani ulipodidimia ni America-USA. USA is a historical/biblical nation na itaendelea kuwa kidedea hadi mwisho wa dunia.
Si huwa mnaambiana kwamba Marekani imepoteza ushawishi duniani, kwa sasa wenye ushawishi ni wachina na warusiNdio mkuu kwa sababu Marekani ina ushawishi kwa kiasi
kikubwa dunia nzima.
Unatumia kigezo kipi kusema ilimtosa ?This is true ni mapema sana Marekani kuongozwa na Mwanamke.
Hillary Clinton alikuwa famous na powerful kuliko huyo Kamala ila
Electerol college ilimtosa.