List ya Mastaa Bongo wanaoongoza kwa kupigilia Suti kali, Diamond kinara!

List ya Mastaa Bongo wanaoongoza kwa kupigilia Suti kali, Diamond kinara!

Hizo single button ni za mabitoz na watoto ila sisi watu wazima hatuvai hizo.Wala hukuti mtu mwenye heshima kwa jamii kavaa single button.
 
Msanii anayengoza kwa kutupia Bongo ni Jux na Dimpoz kwa mbali, ila daimond mwili wake na suti hauendani hata kidogo

Hadi huku unaleta u team kiba kazi kweli kweli 😀😀😀😀😀
 
Heading inasema "mastaa wanaoongoza kwa kupiga suti kali" sasa hapa neno "suti kali" halimaanishi kupendeza, nilivyoelewa limetumika kuelezea suti interms of quality & cost.
 
Ungemtafutia picha nzuri huyo ommy dimpoz! Hizo sifa na hio koti alovaa wala haviendani!

Huwa anapendeza nae mtoa mada hajakosea

1436846292025.jpg 1436846304956.jpg
 
kwa jux umezingua kinoma yani bora ungemuweka hata joh makini mzee wa kuvaa suti na raba kidogo afadhali ila hapo!
 
Sema mimi siyo staa tu,ila nikitupia kaunda suti yangu...aaaah...macho yote kwangu
 
Mimi naomba unipatie dodoso ulilotumia kukusanyia maelezo hadi umetuletea matokeo haya, Vinginevyo ni UTASHI, USHABIKI na UPENDO wako kwa viumbe hawa
 
bila kujali ustar wala nini na mambo mengnee....!! hakuna kma HEMEDY PHD kwa wasanii na mitupio ya suit apa tanzania...iyo list ako ni mbovuu
 
Back
Top Bottom