List ya Matajiri 10 katika soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) mpaka Juni 26, 2023

List ya Matajiri 10 katika soko la hisa la Dar es Salaam (DSE) mpaka Juni 26, 2023

Mbona mwanangu Zero IQ hayupo? Msinambie ameuza hisa zake zote katika soko la dar, na kutokomea ugaibuni kwenda kuwekeza huko.

Ila tuache masihara, hawa jamaa wa Top 10 hii nawaheshimu sana, investment zao zote ni kwenye Mabenk na Cement. Turudi kwenye watu wanaofahamu tabia za investment kwenye masoko ya hisa, kupanda na kushuka (Halafu kuna Kuporomoka kifo cha mende) kwa hisa, wanaweza kunielewa. Ukitaka;

1) Kufa kabla ya siku zako.
2) Kupata msongo wa mawazo kolabo na kisonono ft wazimu.
3) Kusahau nguo za ndani (Chupi) inavaliwa vipi.
4) Kuwehuka.
5) Kupata High Blood Pressure kabla ya umri wa uzee.
6) Mke akukimbie kwa kisirani kisichoisha.
7) Kupata kipara kabla ya umri.

Fanya investment kwenye soko la hisa la Dar Es Salaam Stock Market (DSE).

Tanzania yetu biashara ni sawa na kucheza kamari MBET au Wasafi BET, unahitaji uwe na moyo wa chuma kama waliopitia mafunzo ya kivita. Leo mnaweza kulala kwa amani kabisa kibiashara na kodi, kesho mnaamka na;

1) Miswaada mipya ya mabadiliko ya kodi ishapelekwa bungeni huko, na wabunge au mawaziri wetu vichaa.
2) Sheria mpya za mabadiliko ya kupandishwa kwa kodi ishatungwa au kubadilishwa na Bunge. Au sheria ndogo zishatungwa za kodi/biashara na Waziri, BOT, TRA na mpaka halmashauri mamaqe.
3) Muda wowote mnaamka mabadiliko msiotegemea wala kuwaza akilini. Yani muda wote mpo kwenye parade, mguu upande/mguu sawa/kushoto geuka!!! Waaah!!!

NOTE THAT; Tanzania hatuna mazingira rafiki wala sheria rafiki wala zilizo stable za kibiashara. Muda wowote chochote kinabadilishwa. Kitu kinachofanya biashara mpaka za kwenye soko la hisa kuwa halipo stable wala halisomeki hata uende Havard!

Usione Bakhresa na utajiri wake wote wa matrillioni amewekeza USD Million 1.5 tu, au usione Mo Dewj wala mabillionair hajaweka hata Shillingi zao kwenye soko la hisa DSE basi ukaona jamaa ni mabwege au vichaa! Wana akili sana. Jaribu wewe uone upepo wa kisulisuli una rangi gani!
 
Ifuatayo ni list ya matajiri 10 katika soko la hisa la dar es salaam (DSE) mpka kufikia siku ya tarehe 26-06-2023, kama ilivyoandikwa na THE BUSINESS WIZ siku ya tarehe 30-06-2023.

The 10 richest Tanzanians on the Dar es Salaam Stock Exchange​

Patrick Schegg a former Hedge fund manager, owns the most valuable portfolio on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) with his net worth valued at $23.5 million according to latest ranking of the wealthiest Tanzanian investors on the DSE done by Billionaires.Africa

The data used for this analysis is sourced from our data provider, S&P Global Market Intelligence, as well as publicly available documents and disclosures.

The valuation of their shares is determined by the prices recorded at the close of trading on June 26, with the valuations converted to U.S. dollars at the prevailing exchange rates.

It is important to note that Billionaires.Africa focuses on individual ownership rather than multi-generational family fortunes. In cases where the breakdown of ownership among siblings or couples is unclear, we attribute the fortune to the most prominent and visible member of the family.

Here are the 10 individuals who currently hold the highest stock ownership positions on the DSE.
1. Patrick Schegg


Net worth on the DSE: $23.5-million

Holdings: NMB Bank PLC, CRDB Bank PLC

Patrick Schegg, a former Hedge fund manager, owns the most valuable portfolio on the Dar es Salaam Stock Exchange. He holds a 1.94-percent stake in commercial bank CRDB and a 0.99-percent stake in NMB Bank. His shares in both banks are worth $ 23.5 million.

2. Aunali Rajabali

Net worth on the DSE: $23.4-million

Holdings: NMB Bank PLC

The Tanzanian tycoon founded Plasco Tanzania, a manufacturer of HDPE and UPVC pipes and fittings. Aunali and his brother, Sajjad Rajabali, own a 3.1-percent stake in NMB Bank.

3. Sajjad Rajabali
Net worth on the DSE: $23.4-million

Holdings: NMB Bank PLC

Sajjad Rajabali, like his brother Aunali, owns a 3.11 percent stake in NMB Bank PLC.

4. Hans Macha

Net worth on the DSE: $6.4-million

Holdings: CRDB Bank

Hans Aingaya Macha, a Tanzanian entrepreneur in the hospitality sector, is one of the largest shareholders of CRDB Bank PLC. His 1.25-percent stake is worth $6.4-million.

5. Ernest Massawe

Net worth on the DSE: $5.3-million

Holdings: TOL Gases Limited

Ernest Massawe is the founder and former managing partner of what is now EY Tanzania and former chairman of the Tanzania Association of Accountants. He owns a 32.49-percent stake in TOL Gases Limited. His stake is worth $ 5.3 million.

6. Murtaza Nasser

Net worth on the DSE: $2.7-million

Holdings: Tanzania Portland Cement

Murtaza Nasser owns 0.9% of Tanzania Portland Cement. His shareholding has a current value of $ 2.7 million.

7. Sayed Kadri

Net worth on the DSE: $2.1-million

Holdings: Tanzania Portland Cement, Swissport Tanzania, Tanzania Cigarette Public Limited

Tanzanian entrepreneur Sayed Kadri has a stock portfolio on the Dar es Salaam bourse that includes 0.59 percent of Tanzania Portland Cement, 0.5 percent of Swissport Tanzania, and 0.004 percent of Tanzania Cigarette Public Limited.

8. Said Bakhresa

Net worth on the DSE: $1.5-million

Holdings: Tanzania Portland Cement

Bakhresa, one of Tanzania’s wealthiest men, owns a 0.51% stake in Tanzania Portland Cement worth $ 1.5 million.

9. Arnold B.S Kilewo

Net worth on the DSE: $1.1-million

Holdings: 5.68-percent of TOL Gases, 0.013-percent in Tanzania Breweries

10. Harold Temu

Net worth on the DSE: $$720,000

Holdings: TOL Gases.

Source: Billionaires. Africa

Baharesa anazungusha hela yake maana DSE ni kusubiri GAWIO ndio maana MO humuoni na ni matajiri
 
Hakuna uwekezaji rahisi, market value business (hisa, hati fungani, amana n.k) ni uwekezaji mgumu japo unalipa sana ukiufahamu. Fuatilia hao Mangi utakuta wamepiga kitabu wengi CPA na wahasibu wabobezi hao makanjibai (Wahindi) ndio kila leo yanaandika vitabu vya uhasibu tunavitumia kwenye mavyuo yetu, ni wabobezi sana kwenye uwekezaji wa mitaji. Yote tisa nawaogopa sana wale wanaofungua kampuni na kuikuza na kuzisajili stock market.
 
Wakuu tafuteni pesa ,list hii inamsaidia nini mkulima wa huku lingusenguse?
inamsaidia Kwa sababu we always get motivated by other's success,so he will work hard, lakini pia anaweza akawaiga siku akipata pesa ainvest kama wao,so they bacome his role model.
Kwa hiyo Mimi Naona inamsaidia.
 
Ifuatayo ni list ya matajiri 10 katika soko la hisa la dar es salaam (DSE) mpka kufikia siku ya tarehe 26-06-2023, kama ilivyoandikwa na THE BUSINESS WIZ siku ya tarehe 30-06-2023.

The 10 richest Tanzanians on the Dar es Salaam Stock Exchange​

Patrick Schegg a former Hedge fund manager, owns the most valuable portfolio on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) with his net worth valued at $23.5 million according to latest ranking of the wealthiest Tanzanian investors on the DSE done by Billionaires.Africa

The data used for this analysis is sourced from our data provider, S&P Global Market Intelligence, as well as publicly available documents and disclosures.

The valuation of their shares is determined by the prices recorded at the close of trading on June 26, with the valuations converted to U.S. dollars at the prevailing exchange rates.

It is important to note that Billionaires.Africa focuses on individual ownership rather than multi-generational family fortunes. In cases where the breakdown of ownership among siblings or couples is unclear, we attribute the fortune to the most prominent and visible member of the family.

Here are the 10 individuals who currently hold the highest stock ownership positions on the DSE.
1. Patrick Schegg


Net worth on the DSE: $23.5-million

Holdings: NMB Bank PLC, CRDB Bank PLC

Patrick Schegg, a former Hedge fund manager, owns the most valuable portfolio on the Dar es Salaam Stock Exchange. He holds a 1.94-percent stake in commercial bank CRDB and a 0.99-percent stake in NMB Bank. His shares in both banks are worth $ 23.5 million.

2. Aunali Rajabali

Net worth on the DSE: $23.4-million

Holdings: NMB Bank PLC

The Tanzanian tycoon founded Plasco Tanzania, a manufacturer of HDPE and UPVC pipes and fittings. Aunali and his brother, Sajjad Rajabali, own a 3.1-percent stake in NMB Bank.

3. Sajjad Rajabali
Net worth on the DSE: $23.4-million

Holdings: NMB Bank PLC

Sajjad Rajabali, like his brother Aunali, owns a 3.11 percent stake in NMB Bank PLC.

4. Hans Macha

Net worth on the DSE: $6.4-million

Holdings: CRDB Bank

Hans Aingaya Macha, a Tanzanian entrepreneur in the hospitality sector, is one of the largest shareholders of CRDB Bank PLC. His 1.25-percent stake is worth $6.4-million.

5. Ernest Massawe

Net worth on the DSE: $5.3-million

Holdings: TOL Gases Limited

Ernest Massawe is the founder and former managing partner of what is now EY Tanzania and former chairman of the Tanzania Association of Accountants. He owns a 32.49-percent stake in TOL Gases Limited. His stake is worth $ 5.3 million.

6. Murtaza Nasser

Net worth on the DSE: $2.7-million

Holdings: Tanzania Portland Cement

Murtaza Nasser owns 0.9% of Tanzania Portland Cement. His shareholding has a current value of $ 2.7 million.

7. Sayed Kadri

Net worth on the DSE: $2.1-million

Holdings: Tanzania Portland Cement, Swissport Tanzania, Tanzania Cigarette Public Limited

Tanzanian entrepreneur Sayed Kadri has a stock portfolio on the Dar es Salaam bourse that includes 0.59 percent of Tanzania Portland Cement, 0.5 percent of Swissport Tanzania, and 0.004 percent of Tanzania Cigarette Public Limited.

8. Said Bakhresa

Net worth on the DSE: $1.5-million

Holdings: Tanzania Portland Cement

Bakhresa, one of Tanzania’s wealthiest men, owns a 0.51% stake in Tanzania Portland Cement worth $ 1.5 million.

9. Arnold B.S Kilewo

Net worth on the DSE: $1.1-million

Holdings: 5.68-percent of TOL Gases, 0.013-percent in Tanzania Breweries

10. Harold Temu

Net worth on the DSE: $$720,000

Holdings: TOL Gases.

Source: Billionaires. Africa

Hongera kanda ya Kaskazini
 
Hao wadosi hawana hela. 🤣 Kuna raia wana hela kuliko hao wa DSE
 
Hivi wakithaminisha ng'ombe wa mfugaji mmoja wa kisukuma au mmasai si tunaweza kupata mshindani wa hawa wenye hisa?

Man’gombe hayana hata thamani ya $1 million hakuna kwa mfugaji yoyote nchini. Ukiona mtu ana hisa zene thamani ya $5 million it means ana assets nyingine zene thamani hata ya $15 million.
 
Mbona mwanangu Zero IQ hayupo? Msinambie ameuza hisa zake zote katika soko la dar, na kutokomea ugaibuni kwenda kuwekeza huko.

Ila tuache masihara, hawa jamaa wa Top 10 hii nawaheshimu sana, investment zao zote ni kwenye Mabenk na Cement. Turudi kwenye watu wanaofahamu tabia za investment kwenye masoko ya hisa, kupanda na kushuka (Halafu kuna Kuporomoka kifo cha mende) kwa hisa, wanaweza kunielewa. Ukitaka;

1) Kufa kabla ya siku zako.
2) Kupata msongo wa mawazo kolabo na kisonono ft wazimu.
3) Kusahau nguo za ndani (Chupi) inavaliwa vipi.
4) Kuwehuka.
5) Kupata High Blood Pressure kabla ya umri wa uzee.
6) Mke akukimbie kwa kisirani kisichoisha.
7) Kupata kipara kabla ya umri.

Fanya investment kwenye soko la hisa la Dar Es Salaam Stock Market (DSE).

Tanzania yetu biashara ni sawa na kucheza kamari MBET au Wasafi BET, unahitaji uwe na moyo wa chuma kama waliopitia mafunzo ya kivita. Leo mnaweza kulala kwa amani kabisa kibiashara na kodi, kesho mnaamka na;

1) Miswaada mipya ya mabadiliko ya kodi ishapelekwa bungeni huko, na wabunge au mawaziri wetu vichaa.
2) Sheria mpya za mabadiliko ya kupandishwa kwa kodi ishatungwa au kubadilishwa na Bunge. Au sheria ndogo zishatungwa za kodi/biashara na Waziri, BOT, TRA na mpaka halmashauri mamaqe.
3) Muda wowote mnaamka mabadiliko msiotegemea wala kuwaza akilini. Yani muda wote mpo kwenye parade, mguu upande/mguu sawa/kushoto geuka!!! Waaah!!!

NOTE THAT; Tanzania hatuna mazingira rafiki wala sheria rafiki wala zilizo stable za kibiashara. Muda wowote chochote kinabadilishwa. Kitu kinachofanya biashara mpaka za kwenye soko la hisa kuwa halipo stable wala halisomeki hata uende Havard!

Usione Bakhresa na utajiri wake wote wa matrillioni amewekeza USD Million 1.5 tu, au usione Mo Dewj wala mabillionair hajaweka hata Shillingi zao kwenye soko la hisa DSE basi ukaona jamaa ni mabwege au vichaa! Wana akili sana. Jaribu wewe uone upepo wa kisulisuli una rangi gani!

Mbona mwanangu Zero IQ hayupo? Msinambie ameuza hisa zake zote katika soko la dar, na kutokomea ugaibuni kwenda kuwekeza huko.

Ila tuache masihara, hawa jamaa wa Top 10 hii nawaheshimu sana, investment zao zote ni kwenye Mabenk na Cement. Turudi kwenye watu wanaofahamu tabia za investment kwenye masoko ya hisa, kupanda na kushuka (Halafu kuna Kuporomoka kifo cha mende) kwa hisa, wanaweza kunielewa. Ukitaka;

1) Kufa kabla ya siku zako.
2) Kupata msongo wa mawazo kolabo na kisonono ft wazimu.
3) Kusahau nguo za ndani (Chupi) inavaliwa vipi.
4) Kuwehuka.
5) Kupata High Blood Pressure kabla ya umri wa uzee.
6) Mke akukimbie kwa kisirani kisichoisha.
7) Kupata kipara kabla ya umri.

Fanya investment kwenye soko la hisa la Dar Es Salaam Stock Market (DSE).

Tanzania yetu biashara ni sawa na kucheza kamari MBET au Wasafi BET, unahitaji uwe na moyo wa chuma kama waliopitia mafunzo ya kivita. Leo mnaweza kulala kwa amani kabisa kibiashara na kodi, kesho mnaamka na;

1) Miswaada mipya ya mabadiliko ya kodi ishapelekwa bungeni huko, na wabunge au mawaziri wetu vichaa.
2) Sheria mpya za mabadiliko ya kupandishwa kwa kodi ishatungwa au kubadilishwa na Bunge. Au sheria ndogo zishatungwa za kodi/biashara na Waziri, BOT, TRA na mpaka halmashauri mamaqe.
3) Muda wowote mnaamka mabadiliko msiotegemea wala kuwaza akilini. Yani muda wote mpo kwenye parade, mguu upande/mguu sawa/kushoto geuka!!! Waaah!!!

NOTE THAT; Tanzania hatuna mazingira rafiki wala sheria rafiki wala zilizo stable za kibiashara. Muda wowote chochote kinabadilishwa. Kitu kinachofanya biashara mpaka za kwenye soko la hisa kuwa halipo stable wala halisomeki hata uende Havard!

Usione Bakhresa na utajiri wake wote wa matrillioni amewekeza USD Million 1.5 tu, au usione Mo Dewj wala mabillionair hajaweka hata Shillingi zao kwenye soko la hisa DSE basi ukaona jamaa ni mabwege au vichaa! Wana akili sana. Jaribu wewe uone upepo wa kisulisuli una rangi gani!

You’re not a risk taker. Mambo sio complicated kama unavyoonesha hapa. Mtu kawekeza hisa zake more than 23 million in US dollar katika Bank mbili za uhakika CRDB na NMB. Hizo ni Bank bola na kubwa nchini hata ukwasi wake sio wa kipuuzi ni bank zilizo na maslah mapana kwa taifa ndio maana kila mwaka zinatangaza faida na gawio nono kwa wanahisa na serikali. Viwanda vya simenti, steel, iron sekta ya nishati kama gesi huko hakuwezi kutetereka hata siku moja kwasababu ya uhitaji wa bidhaa zake. Hao kina dewj wana viwanda vya ndio maana hawajawekeza fedha zao kwa mtu au taasisi yoyote ile. Wakati unajiuliza wenzio wanapata magawio ya kufa mtu ni juzi tu huyo Hans macha alipata gawio la $1.5 million kutoka CRDB. Kuwekeza ni mahesabu sio bra braa za kilimo.
 
Back
Top Bottom