Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Mbona mwanangu Zero IQ hayupo? Msinambie ameuza hisa zake zote katika soko la dar, na kutokomea ugaibuni kwenda kuwekeza huko.
Ila tuache masihara, hawa jamaa wa Top 10 hii nawaheshimu sana, investment zao zote ni kwenye Mabenk na Cement. Turudi kwenye watu wanaofahamu tabia za investment kwenye masoko ya hisa, kupanda na kushuka (Halafu kuna Kuporomoka kifo cha mende) kwa hisa, wanaweza kunielewa. Ukitaka;
1) Kufa kabla ya siku zako.
2) Kupata msongo wa mawazo kolabo na kisonono ft wazimu.
3) Kusahau nguo za ndani (Chupi) inavaliwa vipi.
4) Kuwehuka.
5) Kupata High Blood Pressure kabla ya umri wa uzee.
6) Mke akukimbie kwa kisirani kisichoisha.
7) Kupata kipara kabla ya umri.
Fanya investment kwenye soko la hisa la Dar Es Salaam Stock Market (DSE).
Tanzania yetu biashara ni sawa na kucheza kamari MBET au Wasafi BET, unahitaji uwe na moyo wa chuma kama waliopitia mafunzo ya kivita. Leo mnaweza kulala kwa amani kabisa kibiashara na kodi, kesho mnaamka na;
1) Miswaada mipya ya mabadiliko ya kodi ishapelekwa bungeni huko, na wabunge au mawaziri wetu vichaa.
2) Sheria mpya za mabadiliko ya kupandishwa kwa kodi ishatungwa au kubadilishwa na Bunge. Au sheria ndogo zishatungwa za kodi/biashara na Waziri, BOT, TRA na mpaka halmashauri mamaqe.
3) Muda wowote mnaamka mabadiliko msiotegemea wala kuwaza akilini. Yani muda wote mpo kwenye parade, mguu upande/mguu sawa/kushoto geuka!!! Waaah!!!
NOTE THAT; Tanzania hatuna mazingira rafiki wala sheria rafiki wala zilizo stable za kibiashara. Muda wowote chochote kinabadilishwa. Kitu kinachofanya biashara mpaka za kwenye soko la hisa kuwa halipo stable wala halisomeki hata uende Havard!
Usione Bakhresa na utajiri wake wote wa matrillioni amewekeza USD Million 1.5 tu, au usione Mo Dewj wala mabillionair hajaweka hata Shillingi zao kwenye soko la hisa DSE basi ukaona jamaa ni mabwege au vichaa! Wana akili sana. Jaribu wewe uone upepo wa kisulisuli una rangi gani!
Ila tuache masihara, hawa jamaa wa Top 10 hii nawaheshimu sana, investment zao zote ni kwenye Mabenk na Cement. Turudi kwenye watu wanaofahamu tabia za investment kwenye masoko ya hisa, kupanda na kushuka (Halafu kuna Kuporomoka kifo cha mende) kwa hisa, wanaweza kunielewa. Ukitaka;
1) Kufa kabla ya siku zako.
2) Kupata msongo wa mawazo kolabo na kisonono ft wazimu.
3) Kusahau nguo za ndani (Chupi) inavaliwa vipi.
4) Kuwehuka.
5) Kupata High Blood Pressure kabla ya umri wa uzee.
6) Mke akukimbie kwa kisirani kisichoisha.
7) Kupata kipara kabla ya umri.
Fanya investment kwenye soko la hisa la Dar Es Salaam Stock Market (DSE).
Tanzania yetu biashara ni sawa na kucheza kamari MBET au Wasafi BET, unahitaji uwe na moyo wa chuma kama waliopitia mafunzo ya kivita. Leo mnaweza kulala kwa amani kabisa kibiashara na kodi, kesho mnaamka na;
1) Miswaada mipya ya mabadiliko ya kodi ishapelekwa bungeni huko, na wabunge au mawaziri wetu vichaa.
2) Sheria mpya za mabadiliko ya kupandishwa kwa kodi ishatungwa au kubadilishwa na Bunge. Au sheria ndogo zishatungwa za kodi/biashara na Waziri, BOT, TRA na mpaka halmashauri mamaqe.
3) Muda wowote mnaamka mabadiliko msiotegemea wala kuwaza akilini. Yani muda wote mpo kwenye parade, mguu upande/mguu sawa/kushoto geuka!!! Waaah!!!
NOTE THAT; Tanzania hatuna mazingira rafiki wala sheria rafiki wala zilizo stable za kibiashara. Muda wowote chochote kinabadilishwa. Kitu kinachofanya biashara mpaka za kwenye soko la hisa kuwa halipo stable wala halisomeki hata uende Havard!
Usione Bakhresa na utajiri wake wote wa matrillioni amewekeza USD Million 1.5 tu, au usione Mo Dewj wala mabillionair hajaweka hata Shillingi zao kwenye soko la hisa DSE basi ukaona jamaa ni mabwege au vichaa! Wana akili sana. Jaribu wewe uone upepo wa kisulisuli una rangi gani!