List ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa

List ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa

407491769
 
Wakuu, katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali, na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.

1. Mbeya
2. Katavi
3. Rukwa
4. Kigoma
5. Simiyu
6. Lindi
7. Geita
8. Mtwara

Muwe na usiku mwema
Ukiona msukuma mrembo (mweule) asilimia kubwa ni mnyantuzu (Simiyu).
 
Hakuna boss Town kabisaa.
Pisi za Zenji 99% ni nyembamba balaa
Pisi za Zenji hazina msambwanda ni flat za kufa mtu japo zina miguu minene
Pisi za Zenji zina makanyagio makubwa.
Pisi za Zenji haziko romantic
Lakini c zina bikira? [emoji39]
 
Wakuu, katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali, na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.

1. Mbeya
2. Katavi
3. Rukwa
4. Kigoma
5. Simiyu
6. Lindi
7. Geita
8. Mtwara

Muwe na usiku mwema
LINDI inatakiwa iwe namba moja[emoji23]
Yan lindi hakuna pisi kabisaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali, na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.

1. Mbeya
2. Katavi
3. Rukwa
4. Kigoma
5. Simiyu
6. Lindi
7. Geita
8. Mtwara

Muwe na usiku mwema
Kama baujatembea unaweza kaaa kimya, lindi, mtwara na kigoma watoe kabisa kwenye list hiyo. Tuache sis wa mbeya tunajijua wenyew uzur wetu upo kwa mashep na akili mingi over
 
🏃🏃🏃🏃 nduki
 

Attachments

  • P-IMG-20230213-WA0077.jpg
    P-IMG-20230213-WA0077.jpg
    47.3 KB · Views: 10
Simiyu mkuu kuna pisi za kwenda huko bariadi, kishapu huko kuna wanyantuzu weupee hatar hasa upande unaopakana na manyara...mbeya ni ukweli mtupu , vigimbi tuu vimejaa kule
Na vitambi😆😆😆😆
 
Hakuna boss Town kabisaa.
Pisi za Zenji 99% ni nyembamba balaa
Pisi za Zenji hazina msambwanda ni flat za kufa mtu japo zina miguu minene
Pisi za Zenji zina makanyagio makubwa.
Pisi za Zenji haziko romantic
Sasa msambwanda utakusaidia nini? sie tunaridhika kuona uzuri wa sura na nywele zao unatutosha kbs, hatuna haja ya kunukishana harufu mbaya zaa misambwanda tukiwa 6*6...😆
 
Sasa msambwanda utakusaidia nini? sie tunaridhika kuona uzuri wa sura na nywele zao unatutosha kbs, hatuna haja ya kunukishana harufu mbaya zaa misambwanda tukiwa 6*6...😆
Wengi wape sheykhee😁😁😁
 
Back
Top Bottom