List ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa

List ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa

Si kweli, mikoa yote ya Tanzania ina wadada warembo kila mmoja kwa mwonekano na haiba yake.

Amka usingizini mkuu. Uzuri upo ndani nje mnajidanganya tu.
 
Ebu itoe Mbeya kwenye hiyo list yako mbaya, Mbeya kuna pisi sana tena zinajambia mbalii(butt..)😂
 
Hii posti italeta cotempt na prejudice kwa mtoa mada...
 
Ukitaka wanawake wazuri wa kiafrika ni kanda ya ziwa ndo naonaga kama wamebalance sura maumbo na miguu, huko kwingine unakuta sura nzuri umbo simba dume, miguu fito, ukanda wa manyara singida Arusha pisi zina sura nzuri ila asikenue, na asivae umini na wana ngozi nyepesi kiasi wanawahi kuzeeka
 
Ukitaka wanawake wazuri wa kiafrika ni kanda ya ziwa ndo naonaga kama wamebalance sura maumbo na miguu, huko kwingine unakuta sura nzuri umbo simba dume, miguu fito, ukanda wa manyara singida Arusha pisi zina sura nzuri ila asikenue, na asivae umini na wana ngozi nyepesi kiasi wanawahi kuzeeka
Watoe Wamasai hapo, wana natural black skin mpaka anakua mtu mzima hajafubaa

Tatizo ni wale wa Mjini pale Wameru ,wachagga, Waarusha,Wambulu....weupe, sura nzuri ila kweli wanafubaa mapema sijui sababu ni Pombe au?
 
Watoe Wamasai hapo, sana natural black skin mpaka anakua mtu mzima hajafubaa

Tatizo ni wale wa Mjini pale Wameru ,wachagga, Waarusha,Wambulu....weupe, sura nzuri ila kweli wanafubaa mapema sijui sababu ni Pombe au?
Ok ok,👍
 
Kwa simiyu nakataa kuna pisi nyingi mno mitaa ya somanda na salunda

Tena zenye matako yaliyo matakoni
 
Back
Top Bottom