Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ujitaje mama mbona unaongea kwa kuzunguka mbuyu😅😅Ebu itoe Mbeya kwenye hiyo list yako mbaya, Mbeya kuna pisi sana tena zinajambia mbalii(butt..)😂
Huyu mleta mada kyagata ni mtu wa Mara, aise Kuna mademu Wana sura ngumu Mkoa wa Mara kuliko wanaume. Hasa kule Majita.Mmewaonea sana Dada zangu wa Mbeya.......mleta Uzi waombe radhi Dada zangu......yaani Mara inaizidi Mbeya?
Tunaomba picha..Ebu itoe Mbeya kwenye hiyo list yako mbaya, Mbeya kuna pisi sana tena zinajambia mbalii(butt..)[emoji23]
Njoo pm mkuu 🤭Muhadithie vizuri 😂😁
Pisi za kaska ni uhakika [emoji28]
kwa kweli sina uhakika yupo wapi sasa maana tumepotezana miaka mi4 sasaHuyu kasilida km anakaa wilaya ya kasulu?
kwa kweli sina uhakika yupo wapi sasa maana tumepotezana miaka mi4 sasa
ndiyo ni kasuluNakuuliza kwao ni kasulu?
Watoe Wamasai hapo, wana natural black skin mpaka anakua mtu mzima hajafubaaUkitaka wanawake wazuri wa kiafrika ni kanda ya ziwa ndo naonaga kama wamebalance sura maumbo na miguu, huko kwingine unakuta sura nzuri umbo simba dume, miguu fito, ukanda wa manyara singida Arusha pisi zina sura nzuri ila asikenue, na asivae umini na wana ngozi nyepesi kiasi wanawahi kuzeeka
Ok ok,👍Watoe Wamasai hapo, sana natural black skin mpaka anakua mtu mzima hajafubaa
Tatizo ni wale wa Mjini pale Wameru ,wachagga, Waarusha,Wambulu....weupe, sura nzuri ila kweli wanafubaa mapema sijui sababu ni Pombe au?