List ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa

List ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa

Kwa mbeya hasa kule kyela Kuna pisi Kali sana

Ila beware pisi Kali ukiikuta inaishi kyela kuja possibility kubwa Iko gridi ya TAIFA.
 
Duuh! Hapo nawaza tu ukute mdada ametoka kusifiwa ye ni pisi kali halafu anakutana na huu uzi. 😂😂
 
Kilimanjaro
Arusha
Tanga
Manyara
Hiyo mikoa Kwa hapa Tanzania nafikiri ndio inayoongoza Kwa kutoa pisikali za Moto.

Wanaofuata ni Tabora na Singida, Huko kwingine Hali Kwa kweli Acha nikae kimya

Pisi za kaska ni uhakika [emoji28]
 
Bila kuweka kilimanjaro hiyo list haijakamilika au feki.
1. Wanawake wa klm ni flat screen
2. Wote wana vitambi kama wanywa dadii
3. Meno ya shaba kama ma vampire
4. Miguu sasa utafikiri ni mikono
5. Kwenye 6*6 sasa wote - F
6. Mapishi -F
6. Funga kazi: vigimbi
Mmmmhhh😂😂😂😂,nimcheka kwakuwa siyo wa Kilimanjaro,ila ningekuwa natokea huko ningeumwa mwezi mzima kwa hii comment
 
Zanzibar ukienda huwezi kusimamisha mnara wanawake 97% ni sura za baba
 
Hivi unadhani tunayokutana nayo ni madogo? Nilienda kwao gentamycine kuopoa chuma kwanza kimepigwa mishono ya mapanga kama sehemu tano usoni acha kabisa
MF usichanganye kwa mnyarwand anafaa kwenda nae beach kuji showoff tu baada ya hapo mteme. Ukiendelea utakachota humo Hadi kamba itakatika
 
Back
Top Bottom