Huwajui waha (wa Manyovu)Mnyarwanda aliyejivika UHA wa Kigoma
Semw mbeya mkuu hebu watoe maana kuna wale wa mbuzi hata sura anayo,ila sasa huko kwengine siongei.[emoji4]Wakuu, katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali, na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1. Mbeya
2. Katavi
3. Rukwa
4. Kigoma
5. Simiyu
6. Lindi
7. Geita
8. Mtwara
Muwe na usiku mwema
Ila kweli wanawake wa kinyalu wana sura mbaya sanaHii list bila iringa ni takataka tu
Kabisa mzee, kule Kigoma kuna pisi za kitutsi na kikongo (ndo wenyeji wa kigoma)Kigoma kuna masalia ya Kihutu na Kitusi na wakongo ni balaaa usiombe
joanah humjui?Mkoa mwingine ambao hauna pisi kabisa ni JamiiForums sijawahi ona pisi yoyote pamoja na kuwepo miaka 8
Ila wewe 😀Daaaah, haya bwanaaa!
Unaweza kuwa na msndandamab ila siyo pisi kaliMbeya huijui wewe sambwanda zote zipo Mbeya
vipi wee nipisi au mwamba?😅Ila wewe 😀
Kwanini ulijiita vile?
Inaelkeaa una tokea pande hzo mnk umefafanua vyema sanaArusha kuna wameru, wamasai na wa Arusha.
Ni Kweli Niko na msukuma wangu hapaShinyanga, Simiyu, Geita, Tabora, pisi kali zipo ila sauti sasa! [emoji16] Unaweza ukasema mwili ni wa mtu mwingine na sauti ni ya mtu mwingine.
Ila wamasaiArusha kuna wameru, wamasai na wa Arusha.
Aache kusikiliza story za vijiweni
Karibu sana NgarenanyukiInaelkeaa una tokea pande hzo mnk umefafanua vyema sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Niliwahi enda mtwara wakati huo nipo bongo niliwahi lala na pisi moja kali sana maji ya kunde siisahau mpaka leo yule binti mariamu mtoto mweupe peee ila kitandani alinipiga knock-out nilikojoa magoli matatu ndani ya nusu saa nilijuta kuzaliwa, mtoa uzi acha uongo.. ni vile tu huna pesa za nauli za kuzunguka mikoa yote ya Tanzania na umejaa wasiwasi wa kufa na ajali za mabasi... ebu tembea ujionee.. maaana hata saivi utasema bongo pekeee ndio kuna pisi kali ila ukweli ni kwamba duniani kuna pisi kali mpaka shetani mwenyewe akiwaona anakimbiaaaa...Wakuu, katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali, na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1. Mbeya
2. Katavi
3. Rukwa
4. Kigoma
5. Simiyu
6. Lindi
7. Geita
8. Mtwara
Muwe na usiku mwema
Simjuijoanah humjui?