Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haupo serious wewePia Arusha ni hovyo sana
Wameru ni ushuzi mtupuHaupo serious wewe
Mara Wana maumbo matata , Tanzania nzima hakuna wadada Wana maumbo matata kama wa Mara , Ila Wana Sura ngumu kinyamaHii listi bila mara ujatenda haki
Arusha kuna wameru, wamasai na wa Arusha.Wameru ni ushuzi mtupu
Pia Arusha ni hovyo sana
Labda wajita na makabila mengine madogomadogo ila wakurya mmmh hamnamo umbo zuri paleMara Wana maumbo matata , Tanzania nzima hakuna wadada Wana maumbo matata kama wa Mara , Ila Wana Sura ngumu kinyama
Hujatembea Mbeya ,kule kwa wenye ile mizigo tunayo penda sisi watu Wafrica ndio nyumbani.Wakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
mbeya ni sahihi kabisa...nimeishi mbeya kwa zaidi ya miaka 5...
ila simiyu kule ni kuna pisi kali....