Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyarwanda aliyejivika UHA wa KigomaJACKLINE NTUYABHALIWE NI MTU WA WAPI VILE?
Warugulu wana sura za kawaida ila wanakatika viuno mfano hakuna bila kusahau pacha wao wa kizaramo haya makabila hayana mpinzani kwenye kukatika viuno
Aaaah weee sio kweli.Pia Arusha ni hovyo sana
Pia Arusha ni hovyo sana
Simiyu kuna watoto wazur kule jamaa amebugmbeya ni sahihi kabisa...nimeishi mbeya kwa zaidi ya miaka 5...
ila simiyu kule ni kuna pisi kali....
Mkoa wa manyara na singida una pisi Kali nyingi ila zinaviuno vigumu sana
Siwezi kugonga mwanake kwenye kiuno kama gogoViruguru vifupifupi kama wabena halafu usafi zero plus, unaambiwa pisikali wewe unakimbilia kukatika viuno utakua na matatizo wewe
Ha ha haHapa umetoa hoja ya maana
Siwezi kugonga mwanake kwenye kiuno kama gogo
as long as hatujakumbwa na tetemeko, tunakula hata kama mchele afu3
mambo mengine hayana umuhimu sana! Tumshukuru Mnyazi Mungu kwa siku ya leo.. Amin
Na kujilisha upepoUnataka kusema mengine yote ubatili mtupu
Umesahau Iringa kigomaWakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Mna dhambi sana[emoji1787][emoji1787]
Kumbe!!!Mnyarwanda aliyejivika UHA wa Kigoma
😂😂😂Hivi unadhani tunayokutana nayo ni madogo? Nilienda kwao gentamycine kuopoa chuma kwanza kimepigwa mishono ya mapanga kama sehemu tano usoni acha kabisa