MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Ila utani mwingine huwa unaudhi mno....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtwara? Wewe unapajua vizuri mtwara hasa pale masasi mjini?na je njombe unasemaje?Wakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Wamekomaa wanavigimbiWakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Eti anajua vizuri mtwara huyo?Hiyo List kama hakuna DODOMA, RUVUMA, IRINGA, SHINYANGA haina maana
Mtwara hapo umeongopa kuna pisi kali kali
Amina chifupa sio mtu wa mara ,nadhani ni wa morogoro huko.Mara tunazo pisi kali kama Rashida Wanjala,Lisa Jensen,Miriam Odemba,Shay Rose Banji na nyingine nyingi.Mngeweka na picha ingependeza,, alafu kila mkoa una pisi tena za uhakika sema yu hujawai kukutana nazo mfano mara alikuwepo amina chifupa daah huwezi amin km ni mwanamara, nk
Naunga mkono hojaSimiyu ina pisi kali sana aitoe kwenye list hapo
Muelekezeni kwanza 😂Eti anajua vizuri mtwara huyo?
Kabisa jamaa ana utani wa ngumi uyo.Haupo serious wewe
We itakuwa wa kigoma.Mawazo ya hivi ndo yanafanya kila siku humu vijana wanakataa ndoa,watu wameacha kuangalia tabia na mienendo wameamia kwenye maumbile nawambia hivi mtaendelea kulalama
kama vile wewe mtu akikuita kwa kingereza lazima upigane 😃.Ila utani mwingine huwa unaudhi mno....
Aisee kweli kuna mkoa mmoja wapo hapo asilimia kubwa ya wanawake wana vigimbi akiwa kwa mbali huku amevaa sketi unaweza kujua robot
ebu tujikite kwenye hoja jmn.. hoja ni kwamba hiyo mikoa haina pisi Kali....Hizo pisi kali mnazooa ndo zinawaroga maana hazijishughulishi zina subiri mali
Unamaanisha pisi kali wanawake wanaotumia makeupWakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Daaaah, haya bwanaaa!kama vile wewe mtu akikuita kwa kingereza lazima upigane 😃.
Labda wanachuo🤣🤣🤣🤣🤣Iringa kuna pisi nyingi tu mkuu
🤣🤣🤣🤣Unamaanisha pisi kali wanawake wanaotumia makeup
Wamakonde je?Warugulu wana sura za kawaida ila wanakatika viuno mfano hakuna bila kusahau pacha wao wa kizaramo haya makabila hayana mpinzani kwenye kukatika viuno
Mara haina pisi kabisa..Amina chifupa sio mtu wa mara ,nadhani ni wa morogoro huko.Mara tunazo pisi kali kama Rashida Wanjala,Lisa Jensen,Miriam Odemba,Shay Rose Banji na nyingine nyingi.
Hahaha afanye upya research yakeMuelekezeni kwanza 😂