List ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa

List ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa

Wakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Mtwara? Wewe unapajua vizuri mtwara hasa pale masasi mjini?na je njombe unasemaje?
 
Wakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Wamekomaa wanavigimbi
 
Mngeweka na picha ingependeza,, alafu kila mkoa una pisi tena za uhakika sema yu hujawai kukutana nazo mfano mara alikuwepo amina chifupa daah huwezi amin km ni mwanamara, nk
Amina chifupa sio mtu wa mara ,nadhani ni wa morogoro huko.Mara tunazo pisi kali kama Rashida Wanjala,Lisa Jensen,Miriam Odemba,Shay Rose Banji na nyingine nyingi.
 
Aisee kweli kuna mkoa mmoja wapo hapo asilimia kubwa ya wanawake wana vigimbi akiwa kwa mbali huku amevaa sketi unaweza kujua robot

IMG_8449.jpg

Noma sana
 
Wakuu,katika kuzunguka kwangu hapa Tanzania nimefanya kautafiti kadogo kuhusu pisi kali,na nimekuja na orodha ya mikoa ambayo haina pisi kali kabisa hapa Tanzania.
1.Mbeya
2.katavi
3.Rukwa
4.Kigoma
5.simiyu
6.Lindi
7.Geita
8.Mtwara
Muwe na usiku mwema
Unamaanisha pisi kali wanawake wanaotumia makeup
 
Amina chifupa sio mtu wa mara ,nadhani ni wa morogoro huko.Mara tunazo pisi kali kama Rashida Wanjala,Lisa Jensen,Miriam Odemba,Shay Rose Banji na nyingine nyingi.
Mara haina pisi kabisa..
 
Back
Top Bottom