Mbo Mpenza
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 445
- 1,114
Kilimanjaro
Arusha
Tanga
Manyara
Hiyo mikoa Kwa hapa Tanzania nafikiri ndio inayoongoza Kwa kutoa pisikali za Moto.
Wanaofuata ni Tabora na Singida, Huko kwingine Hali Kwa kweli Acha nikae kimya
Arusha ipi unayozungumzia. Umefika Karatu?Pia Arusha ni hovyo sana
You excluded🤣🤣🤣Tutakoma yaan
Uko nafikiri ni mbuluArusha ipi unayozungumzia. Umefika Karatu?
Mmmmhhh😂😂😂😂,nimcheka kwakuwa siyo wa Kilimanjaro,ila ningekuwa natokea huko ningeumwa mwezi mzima kwa hii commentBila kuweka kilimanjaro hiyo list haijakamilika au feki.
1. Wanawake wa klm ni flat screen
2. Wote wana vitambi kama wanywa dadii
3. Meno ya shaba kama ma vampire
4. Miguu sasa utafikiri ni mikono
5. Kwenye 6*6 sasa wote - F
6. Mapishi -F
6. Funga kazi: vigimbi
🤭You excluded
Kwani creteria za mtu kuwa pisi kali ni zipi?waluguru na wamakonde ila wachaga ni pis kali makalio na miguu hawana
Warangi ni wenyeji wa mkoa gani mkuu?Hiyo List kama hakuna DODOMA, RUVUMA, IRINGA, SHINYANGA haina maana
Mtwara hapo umeongopa kuna pisi kali kali
we kigoma hujakutana na watoto wa kiha asili ya kinyarwanda sijui weusi lakini wana nywele za kishombe shombe mpaka mashavuni pua mchongoko msomali akasome,
usinikumbushe Kasirida wangu ntalia mie
MF usichanganye kwa mnyarwand anafaa kwenda nae beach kuji showoff tu baada ya hapo mteme. Ukiendelea utakachota humo Hadi kamba itakatikaHivi unadhani tunayokutana nayo ni madogo? Nilienda kwao gentamycine kuopoa chuma kwanza kimepigwa mishono ya mapanga kama sehemu tano usoni acha kabisa