List ya vijana 50 wenye ushawishi yatolewa: Wapo Samatta, Kibatala, Millard Ayo, Ali Kiba, Msando

Nafikiri wana ushawishi kwa aliyeandaa list,
 
List isiyo na Mange Kimambi haijakamilika.....
 
hivi kweli millard ayo ana ushawishi gani? au maana ya ushawishi labda sijaielewa vizuri.
 
mimi naona mtu mwenye ushawishi ni mange kimabi. wengine hapo kwenye list ni wapuuzi watupu. kwanza wengi hata siwafahamu. sasa hata sijui wanatolea wapi huo ushawishi.
 
List isiyo na Mange Kimambi haijakamilika.....
Sijui ni avatar ndo inanidanganya kila nikikumbuka huyo sio wewe ila bado tu najisahau....nafikiri umenielewa mtu Mimi.
 
Nachojua ni kwamba Wa tz hatujawahi kua serious katika tunayofanya .. Et idriss
 
Mbona hata mimi sijaona jina langu!? Not interest.
 
Anavohurumiwa huyu Kijana ili kushindana na yule mwingine ni hatari sana, wanaomhurumia ktk kuonesha huruma yao kwake siku moja wachangane hata kabilioni kamoja tu ili wamnunulie kageto kisha wampaishe na yeye kanunua geto...
 
Consigliere naomba nomination niwepo kwenye list pls.. Huyo kwenye avatar ni mimi na jina ni langu... Umoja ni nguvu tufanye jitihada na JF tupate wa kwetu kwenye hiyo list[emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…