The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hata mm nashangaaKangi Lugola ni Mbunge wa wapi?! ππππ₯
Kangi yupi?Hi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
7. Patrobasi katambi
6. Mrisho Gambo.
7. Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
8.Mbunge wa Ngorongoro
9. Kangi Lugola
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Hi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
7. Patrobasi katambi
6. Mrisho Gambo.
7. Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
8.Mbunge wa Ngorongoro
9. Kangi Lugola
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Mwita WaitaraHi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
7. Patrobasi katambi
6. Mrisho Gambo.
7. Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
8.Mbunge wa Ngorongoro
9. Kangi Lugola
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Nipo paleeee navuta sigaraCha ajabu umeandika vise versa hao lazima utawaona labda Kwa mbaliii huyo no 11
Wala usishangae unaweza ukakuta muandishi ameandika akiwa amelewa pombe na hajarudi nyumbani mpaka muda huu.Kangi Lugola ni Mbunge wa wapi?! ππππ₯
Kama hayupo bungeni ni heri. basi na wengine niliowataja wanamfuata.....ila akili yangu imetuma hapaswi kuwa mbunge ngoja nimnyofoeKangi Lugola ni Mbunge wa wapi?! ππππ₯
Jaribu kwanza kufuatilia kwa makini hayo majinaWote wanaweza kurudi. Ni muhesabu kura na mtangazi ushindi ndio kwa Tanzania anaamua mshindi.
Hiyo tume, mamlaka, wajumbe inachaguliwa na iko chini ya Mwenyekiti wa CCM.
Mtemvu yan huyo hamna alichofanya jimboni kwake,kibamba inawezekana likawa ndio jimbo duni zaidi ndani ya darKibamba wala sijui jina lake
Lukuvi lile jimbo atakufa nalo hakuna anaeweza kumtoaHi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.