Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatumia mbinu zozote. Serikali bado inamtakaMzee wa tozo tuna hamu nae
Tarimba anarudi vizuri tu. Ana hela nyingi sana za kumfanya apite. FAUSTINE pia ana mizizi mikubwa sana kigamboni, lazima arudi. Labda hao wengine.Wabunge wa Dar hakuna hatama 1 atakae rudi
Enzi za magu ilikuwa hivyo, ila now lzm tumtoe tu hatufai yuleAtatumia mbinu zozote. Serikali bado inamtaka
Ana mikakati mikali sana bado atarejeaKama jina la Prof Musukuma halimo hii list ni fake.
Siasa za Tanzania hazihitaji ukubalike sana ili ushinde, kuna mizizi ukishaifukia tu na mifumo yako binafsi, hakuna wa kukutoa hapo. Mifano ipo mingi sana kuanzia kina shabiby, kibajaji, abood nkAnakubalika sana?
Mi nimetaja baadhi tuKama jina la Prof Musukuma halimo hii list ni fake.
Huyu inaonekana amekera raia wengi sanaMbunge wa kibamba
Wabunge wa figisu wa hayati Magufuli akiwa na wazo la kuwa Museveni wa Tanzania.Wala usishangae unaweza ukakuta muandishi ameandika akiwa amelewa pombe na hajarudi nyumbani mpaka muda huu.
Wewe kama nani unasema hivyo?Hi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
In shaa Allah tuwepo kushuhudia. Hakuna ajuwae wa lini kuondoka.Hi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Tuambie wewe sisi tulioko.mbali na jimboBumbuli je mnamtaka Makamba?
The burning spearWewe kama nani unasema hivyo?
2025 wewe utafika ukiwa hai?