List ya Wabunge wa CCM ambao hawatarudi Bungeni 2025

List ya Wabunge wa CCM ambao hawatarudi Bungeni 2025

Paramagamba anarudi maana jimbo la kilosa linagawanywa, kutakuwa na jimbo la kilosa na jimbo la Dumila. Yeye anagombea Dumila, which is obviously atapita, watu wa huko wengi ni wajinga.
Ambaye harudi ni yule wa Mwanga, someone Tadayo sjui, mtoto wa Msuya yule. Hakuna kitu anafanya kule.
 
Samia suluhu

Tulia akson

Jenistter muhaghama

Na neema lukangira

Stogomena tax

Mama gwajima na gwajima mwenyewe


Anana malecela

Festo ndugage

Jah people

Covid 19 wote kwa pmj
 
Wabunge wa Dar hakuna hatama 1 atakae rudi
Tarimba anarudi vizuri tu. Ana hela nyingi sana za kumfanya apite. FAUSTINE pia ana mizizi mikubwa sana kigamboni, lazima arudi. Labda hao wengine.
 
Anakubalika sana?
Siasa za Tanzania hazihitaji ukubalike sana ili ushinde, kuna mizizi ukishaifukia tu na mifumo yako binafsi, hakuna wa kukutoa hapo. Mifano ipo mingi sana kuanzia kina shabiby, kibajaji, abood nk
 
Hi great Thinkers.

Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..

Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.

1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale

List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.

Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..

Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Wewe kama nani unasema hivyo?
2025 wewe utafika ukiwa hai?
 
Hi great Thinkers.

Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..

Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.

1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale

List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.

Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..

Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
In shaa Allah tuwepo kushuhudia. Hakuna ajuwae wa lini kuondoka.
 
Back
Top Bottom