The Shah of Tanganyika
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 602
- 1,572
Madalali wote wa bandari nao nje. SSH, anakatwa staili ya Lowassa. Msukuma anakufa kiume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu pambania sana masomoKangi Lugola ni Mbunge wa wapi?! [emoji1][emoji1][emoji1][emoji91]
Hii List imetuliaaa. Mkuu Ongezea mengine 10 kwa style hiyo hiyo 😂Ngoja na mimi niweke utabiri wangu:
1. Tulieni
2. Nduguzanguni
3. sukumawiki
4. Taletale
5. Mbunge wa Uk
6. Gamba la nyoka
7. Nepi
9. February Marope
9. Mngulu Nchimbe
10. Katelephone
Bonnah anarudi, Slaa anategemea huruma za CCM ndio maana ameanza kujikomba kwenye issue bandari akumbukweHi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2. Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6. Patrobasi katambi
7. Mrisho Gambo
8. Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9. Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari.
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni.
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Tatizo wananchi wake sasa. Angekua anagombea dar huyu asingetoboaMzee wa tozo tuna hamu nae
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ngoja na mimi niweke utabiri wangu:
1. Tulieni
2. Nduguzanguni
3. sukumawiki
4. Taletale
5. Mbunge wa Uk
6. Gamba la nyoka
7. Nepi
9. February Marope
9. Mngulu Nchimbe
10. Katelephone
mpina hata asipokatwa hawezi kumshinda mgombea wa chadema Nicholous Kishabi hata yeye analijua hilo maana hata 2020 alipigwa kama mbwa mkomba mboga jikoni ila akatangazwa kwa nguvu.MwanaFA - wananchi watafanya yao
Mpina '- Atakatwa na Wahuni.
Maboto - atakatwa na wahuni
Jerry Slaa atagombea?Na Ndugai alisema hatogombea !
AnawezaJerry Slaa atagombea?
Masomo ya nini?mkuu pambania sana masomo
issa mtemvuKibamba wala sijui jina lake
Bunge gani kabla ya kujadili hoja linakuja kukaa eti kama kamati ya Bunge la CCM. PUMBAFU KBS.Waingie
Waendelee
Watoke
Watajiju
Bunge letu huwa silielewi hadi sasa.. kwa sababu asilimia kubwa wapo kwa matumbo Yao na sio wananchi wanao wawakilisha.
Watu wa Rufiji watamrudisha huyu maana kwao ni Mungu wao.Mcheregwa