List ya Wabunge wa CCM ambao hawatarudi Bungeni 2025

List ya Wabunge wa CCM ambao hawatarudi Bungeni 2025

Hi great Thinkers.

Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..

Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.

1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale

List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.

Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..

Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Ndugai alishatangaza wania muhula mwingine tena.

Ni kweli wengi hawatarudi muhula ujao, watakua replaced na watu wengine ndani ya CCM yenyewe.

Lukuvi labda aamue kutogombea tena, lakini akigombea atapita kirahisi sana, hata A.chenge akigombea nae atapita kirahisi sana
 
Hi great Thinkers.

Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..

Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.

1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale

List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.

Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..

Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Mcheregwa
 
Waingie
Waendelee
Watoke
Watajiju

Bunge letu huwa silielewi hadi sasa.. kwa sababu asilimia kubwa wapo kwa matumbo Yao na sio wananchi wanao wawakilisha.
Maliasili zimeuzwa hakuna anayehoji, wapo tuu, wanakera kwakweli.
 
Back
Top Bottom