Jamaa tutampiga spana za kutosha. Niko hapa Mkolani, namzoom tu13. Mbunge wa nyamagana bwana Stanslaus mabula akipenda kujiita mtoto wa mjini aandae kabsa mashamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa tutampiga spana za kutosha. Niko hapa Mkolani, namzoom tu13. Mbunge wa nyamagana bwana Stanslaus mabula akipenda kujiita mtoto wa mjini aandae kabsa mashamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia inaenda kasi sana,hadi wewe unatubu sasa hivi!Waingie
Waendelee
Watoke
Watajiju
Bunge letu huwa silielewi hadi sasa.. kwa sababu asilimia kubwa wapo kwa matumbo Yao na sio wananchi wanao wawakilisha.
Mmm13. Mbunge wa nyamagana bwana Stanslaus mabula akipenda kujiita mtoto wa mjini aandae kabsa mashamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Byabato hatoboi ata kwenye mchujo alipgwa vibaya sanaMwita Waitara
Stephen Byabato
Kilumbe Ng'enda
Saasisha Mafuwe
Wa Moshi mjini
Jeska Msambatavangu
Prof Mkumbo
Anakubalika sana?Lukuvi lile jimbo atakufa nalo hakuna anaeweza kumtoa
We mbona ulikuwa chawa wa MakondaWaingie
Waendelee
Watoke
Watajiju
Bunge letu huwa silielewi hadi sasa.. kwa sababu asilimia kubwa wapo kwa matumbo Yao na sio wananchi wanao wawakilisha.
KwaniniMbunge wangu Damas Ndumbaro Songea mjini...atafute Kaz nyingine
Ndugai alishatangaza wania muhula mwingine tena.Hi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
McheregwaHi great Thinkers.
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.
1. Job Ndugai.
2.Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6.Patrobasi katambi
7 Mrisho Gambo.
8.Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9.Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale
List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.
Tahadhari ..
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni..
Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Kenge Lugola alishafukuzwa kitamboKangi Lugola ni Mbunge wa wapi?! 😄😄😄🔥
Maliasili zimeuzwa hakuna anayehoji, wapo tuu, wanakera kwakweli.Waingie
Waendelee
Watoke
Watajiju
Bunge letu huwa silielewi hadi sasa.. kwa sababu asilimia kubwa wapo kwa matumbo Yao na sio wananchi wanao wawakilisha.