List ya Wabunge wa CCM ambao hawatarudi Bungeni 2025

List ya Wabunge wa CCM ambao hawatarudi Bungeni 2025

Paramagamba anarudi maana jimbo la kilosa linagawanywa, kutakuwa na jimbo la kilosa na jimbo la Dumila. Yeye anagombea Dumila, which is obviously atapita, watu wa huko wengi ni wajinga.
Ambaye harudi ni yule wa Mwanga, someone Tadayo sjui, mtoto wa Msuya yule. Hakuna kitu anafanya kule.
Kwa nn unafikiri kumchagua kabudi ni ujinga?
 
Iwapo uchaguzi utakuwa wa huru na haki na Rais akaweka mwongozo na maelekezo rasmi chini ya kanuni na sera ya RRRR kwa vyombo vyake(polisi, Tume, wasimamizi) kuwa vitende HAKI basi wabunge na madiwani ni nusu kwa nusu kwa CCM na Wapinzani na Demokrasi itashamiri na wananchi kufaidi matunda ya Bunge nk
 
Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..
Je ni vipi yakitokea tena "Maajabu ya karne ya 21" kwa wao kupita bila "kupingwa" kama ilivyjitokeza 2020?
 
Kanda ya ziwa, Mwanza,Kagera, Shinyanga,Mara na Simiyu na Geita kazi ipo this time.
 
Mbona umetaja
Hi great Thinkers.

Kuelekea 2025 Naomba tuwape Taarifa wabunge amabao hawarudi bungeni wajiaandae kisaikolijia Japo baadhi wamesha declare..

Tuna Wabunge wengi zaidi ya 300 ila mimi naanza na hawa.

1. Job Ndugai.
2. Kassim Majaliwa.
3. Bashiru Ally
4. Paramagamba Kabudi.
5. Lukuvi
6. Patrobasi katambi
7. Mrisho Gambo
8. Mbunge wa Misungwi.(Mnyeti)
9. Mbunge wa Ngorongoro
10. Jerry Slaa
11.Mbunge wa segerea (Bonah).
12.Taletale

List ni kubwa sana nawaachia wanajukwaaa wengine waendelee kuleta hayo majina.

Tahadhari.
Vua gamba vaa gwanda inakuja 2025 itakuwa ni kivumbi na jasho
Asanteni.

Uzi huu Siyo Masihara uendelee kuwepo.
Mbona umetaja Viceversa! Mkuu.
 
Kanda ya ziwa, Mwanza,Kagera, Shinyanga,Mara na Simiyu na Geita kazi ipo this time.
Kagera Bukoba Vijijini kazi ipo, sema Madiwani wa eneo la Ikimba ni waoga na wanamuabudu na kumuogopa sana Rweikiza na huko ndipo walipo wapiga kura wengi lasivyo angepigwa vibaya mno hata kama wakisema waibe kura zisingemtosha.
 
1. Ndugai alishasema hagombei tena, kumweka kwenye hii list sidhani kama ni sahihi, hao wengine ni vyawa tu kung'oka ni ngumu hivyo wengi watabaki, yote ya yote, vingi sina hakika ila la Majaliwa kutorudi kwenye U-PM hili nina hakika 100%
Kwanini majaliwa asirudi?
 
Kwanini majaliwa asirudi?
Ukiangalia huu mfumo ulivyo utagundua aliachwa kwa sababu kipindi kile angetolewa baraza lingevunjika na nchi ilikuwa katika kipindi cha mpito na majonzi,

ingekuwa ni nafasi ya kawaida ambayo ukimtoa baraza linabaki lilivyo sidhani kama angetoboa kwa kubaki nafasi aliyopo sasa, sasa 2025 unadhani atarudije pengine atayepita ana mipango ya kumweka mtu ambaye ataisimamia Serikali yake kwa ufanisi na kwenda na falsafa zake
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Back
Top Bottom