DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Luis Nani sio mwethiopia ni mtu mwenye asili ya Cape Verde mkuu
5 Luis Nani asili yake ni Cape Verde mkuu,
Nakujenga, Nufaika na Alvajumaa
KMCHumudi ivi yuko wapi uyo fundi?
Craig BellamyMido
El Diof
Anelka
Huyo namba 4 analingia nn?1. Ibrahimovic
2. Baloteli
3. Diego Costa
4. Humudi
Kwan talent ya mpira ikoje?Ronaldo wa mtumba yule mreno mpaka shedo.. Anajinadi utafikiri ana talent kumbe mazoezi.
Kwa mfano ronadihno is talentedKwan talent ya mpira ikoje?
Hahahaaa...... We jamaaa umenivunja mbavu zote🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Hamumuonagi Anthony Martial? Anatembea kama vile anamiliki dunia.
Na anajuaMimi nafikiri hakuna kama Zlatan hasa linapokuja suala la kujisifu, dharau na nyodo.
Huyo namba 4 analingia nn?
Hela hana
Kipaji cha kawaida sa analingia nini.
Mi naona hajielewi tu.