Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dele Alli
Saido Mané
Anthony Martial
Marcus Rashford
Miguel Almiron
Jack Grealish
Mchezaji akiwa na majivuno na kujiangusha angusha sitaki hata kumuona.Jack Grealish hapo penyewee kabisaaa
*Leroy
Huyo ni chiziLord Bendtner
We unaongea nn wwRonaldo wa mtumba yule mreno mpaka shedo.. Anajinadi utafikiri ana talent kumbe mazoezi.
Japo Mimi ni team Messi,Na wewe fanya mazoezi
Spot on mkuu...Japo Mimi ni team Messi,
Ronaldo ni mashine . Sidhani Kama kuna mcheza mpira asiyefanya zoezi. He has a talent
Jamaa staili yake ya kuwaangalia watu kama anaonyesha dharau hiviHamumuonagi Anthony Martial? Anatembea kama vile anamiliki dunia.
Huyo aliwahi mpiga viatu Didier Drogba na wenzake na bado alipohojiwa na mwandishi akasema huyo Drogba si kitu na hana lolote ila kabahatika tu kupenya mapema huko ulayaBora nikauze nyanya na vitunguu kuliko kucheza klabu ya Simba.
No.2[emoji819]1. Ibrahimovic
2. Baloteli
3. Diego Costa
4. Humudi
Ha ha haaaaa![emoji16] Nasir hana adabu kabisaKuna mchezaji mmoja amesahulika hapa ni yule aliyekataa kumpisha kiti Thierry Henry huyu jamaa kiboko aisee SAMIR NASIR