Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
UmiaSasa kama hutaki roho yangu itaumia!![emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmiaSasa kama hutaki roho yangu itaumia!![emoji39]
[emoji16][emoji16][emoji16] acha roho mbayaHao woooote ulowataja ukichanganya karata vizuri unapata watu 5 tuu.
Kizazi cha multiple id hiki.
Teh, nakuja kukusabahi...!Umia
🙏🙏🙏🙏
Ahsante mtoa mada, this means a lot to me. Nimecheka eti napenda kuita wenzangu watoto sasa kama mtoto unataka uitweje eti pancho boy [emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya list ya kwanza ku base upande wa wanaume. Japo kulikuwa kuna wanawake wachache..
Sasa baada ya kuwasoma kwa muda mrefu nawamwaga hapa..
Wale wenye nyodo nafasi zao hazipo..
Shadeeya -
Blaki womani-
Shunie -
Aggyjay -
Ledada -japo ana mikogo sio
Hawachi -
Khantwe -japo anapenda sana kuita watu wenzie watoto. [emoji23]
Victoire -shabiki wa Man u.
Joanah -japo hapendagi masikhara.
Ihela -huyu katulia sana atakuwa kaolewa.
Warumi -huyu mmbea, ila yeye anaongea na kila mtu, japo jinsia yake inatatiza [emoji23]
Mother confeser -huyu mtu yeye hanaga hiyana ku chit chat na watu, sijawahi kumuona anatukana. (naskia ana mgahawa [emoji23]
Numbisa -kwenye ule uzi wetu pendwa wa isidingo yeye Mwenyekiti pale, pia anapenda kufurahi na watu..
Rebecca89-nahisi nimekosea jina ila huyu huwa ana quote kwa yeyote anayeona yuko sawa. Hana shida..
madam B - huyu kwa kujichanganya na watu ndo anapenda. (japo sijamuona kitambo), anapenda kuchangamsha genge hasa lile la chini kabisaaa....
Madam S-huyu ni mtu mmoja mpole sana japo huwa habagui comment..
demiss -huyu mtaalamu wa hapa dom kwetu yeye yuko fresh ila anapenda masikhara na kuchangamsha genge,
Hivyo naye anaingia kwenye list!..
Witnessj- huyu ni nyongeza hapa sababu anapenda utani
Amu -huyu saivi simuoni ila yuko powa sanaa. ushahidi?? Alini follow so anafaa kukaa kwenye list..
Aghata -huyu anaonekana ni mtu mzima ila haimzuii kujichanganya na watu hapendi mzaha..
Wengine mtanisamehe hampo kwa hii list kutokana na vigezo..
[emoji23][emoji23][emoji23] kaka ujue mimi bado nakupenda ila naona unatafuta vitambona hujamuweka Dada jingalao
Kwa kweli mtoa mada itakuwa kamsahau tuKweli kila mbuyu na shetani wake mimi list kama hii ukimkosa Heaven Sent naona kabisa umeamua kuwa Jecha
Ningekuwa sijaoa ningeshaenda unyakyusani siku mingi nikampe huyu mtoto jina langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi tu ndio niko singo hao wengine wote wameolewahao ulio wataja kama yupo aliye single aseme nimu oe
Mpenzi naona umetokea kwenye list of praise, jow does that feel?
Ni mama yangu huyo!Dada angu Manengelo sijamuona
Sent using Jamii Forums mobile app
I feel so proud babe, don't you?Mpenzi naona umetokea kwenye list of praise, jow does that feel?
Real good, that made a great of assessment of your P!
Personality
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nilifikiria vinginePersonality
Hio inatumika sana mbona, utaskia mtu anasema unajishushia P! Thats personality