List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

Team HipHop nilijua tu lazima mharibu.
Huyo Lunya juzi kakalishwa na mtoto mdogo Toxic Fuvu mpaka aibu naona mimi
Sema mwanangu wee ufatilii mambo kumbe....

Toxic anamipasho mtoto wa kiume uwezi ukachamba vile kama unaimba tarabu...

Angalia dis track anazotoa killer kwa lunya...
Angalia diss track alitotoa vina kwa raptcha....
Yaani zipo cool.. ndo mana nasema toxic bado yupo level za kufosi kik ..

Toxic kwa freestyle hakuna wa kumfikia ila kwa game ya biashara huku asubiri...
 
Nikipata mzuka wa kusikiliza tena, nitamsikiliza.

Kwako wewe ile ngoma yao naogopa, nani alimfunika mwenzie.
Pili unitajie ngoma zipi na zipi nisikilize, zisiwe za amapiano tu, nimesikiliza hizi ngoma zake, zinajirudia na msaada mkubwa ni BITI, Kifupi amapiano nimeona biti ndio linabeba haswa ngoma yenyewe.
Harmonize na marioo wamekimbiza ila boss chibu ana disntiction asiwekwe hapa.
 
Sema mwanangu wee ufatilii mambo kumbe....

Toxic anamipasho mtoto wa kiume uwezi ukachamba vile kama unaimba tarabu...

Angalia dis track anazotoa killer kwa lunya...
Angalia diss track alitotoa vina kwa raptcha....
Yaani zipo cool.. ndo mana nasema toxic bado yupo level za kufosi kik ..

Toxic kwa freestyle hakuna wa kumfikia
Mimi napenda sana HipHop ila Lunya is overrated. Wasanii kama Barkelian, Bando Mc, Nyandu Tozzy and the likes wanatoa machupa makali ila media zinawasagia kunguni
 
Ohhhpppp.....
Naona nimevamia jukwaa tena....
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Mimi napenda sana HipHop ila Lunya is overrated. Wasanii kama Barkelian, Bando Mc, Nyandu Tozzy and the likes wanatoa machupa makali ila media zinawasagia kunguni
Hipho ipo hivi...
Ukisema wewe ufate nguzo amini kutoboa ngumu nyimbo zako watasikiliza wahuni tu wale wa hiphop kazi kazi mfano mcheki dizasta jamaa anajua ila hajawa global.

Hao uliotaja kina nyandu na bando wote now hawafati nguzo wana hiphop flan hivi simple kama kina ngwea ...

Sasa lunya MBUZI anatembea kinyamwezi sana nyimbo zake sio hiphop ngumu unakuta hata watoto wa kike wanatembea nazo..

Yupo global
 
Hipho ipo hivi...
Ukisema wewe ufate nguzo amini kutoboa ngumu nyimbo zako watasikiliza wahuni tu wale wa hiphop kazi kazi mfano mcheki dizasta jamaa anajua ila hajawa global.

Hao uliotaja kina nyandu na bando wote now hawafati nguzo wana hiphop flan hivi simple kama kina ngwea ...

Sasa lunya MBUZI anatembea kinyamwezi sana nyimbo zake sio hiphop ngumu unakuta hata watoto wa kike wanatembea nazo..

Yupo global
Hip Hop ni Lifestyle tena ile ngumu haswaa.!! Lunya ni mlaini sana kuliko ata Ebitoke mpaka kumuita Rapper naona jau.

Tatizo media za mchongo.!!!
 
Hip Hop ni Lifestyle tena ile ngumu haswaa.!! Lunya ni mlaini sana kuliko ata Ebitoke sema ndo ivo Media zinambeba
Mlaini nakubali ila ni mnyamwezi...
😂😂😂 End of day unaangalia nani yupo top kwa mashabiki...
 
1. Marioo
2. Harmonize
3. Jay Melody
4. Mbosso
5. Jux
6. Chino
7. D. Platnumz
8. Zuchu
9. Alikiba
10. Nandy

Hizo takwimu ni kutokana na performance zao huku mtaani ndani ya miaka mitano ya hivi karibuni kulingana na mtazamo wangu.

Nipe List yako
Sahih, ila sio bora ni wenye juhud yaani wapambanaji. Wameweza kujibrand vyema.
 
Harmonize na marioo wamekimbiza ila boss chibu ana disntiction asiwekwe hapa.
Kila kitu kina peak yake, mondi aliifikiaga hiyo kitaambo, sasa anaishi kwa nguvu hiyo.
Marioo ndio kajipata yupo level hiyo,
Harmonize ana maintain bado yupo kwenye ubora wake
Tofauti yao ni namna walitumia akili zao wakiwa kwenye ubora wao, alichofanya mondi kinaonekana na ndio kinambeba hata sasa, mondi anaweza imba ukuti ukuti na bado akabamba.
Mario ni muda wake atumie vizuri.
Mmakonde yeye yupo yupo tu.
Kwenye uandishi na melodies namtoa mario hayupo daraja la kina mondi.

Harmonize na mondi ni kama masteringi wa kichina na mamasta wao, masta anamfundisha steringi, adui atakuja kumuua masta wake ila wanafunzi anaua kiboko ya masta wake.
Ukimsikiliza mjomba nchumali vizuri kuna vitu utaviona, ila ndio hivyo tena mungu hakupi vyote. Ngoma NITAUBEBA, WOTE, TENA, amelowa, zanzibar na nyingine kama 5 hivi, nimesikiliza kisha nikabaki natikisa kichwa kumuheshimu huyu mmakonde.

Mondi ni sir alex ferguson, pep guardiola afanye anavyoweza kufanya, likitajwa jina la fergie ni jambo jingine, heshima yake ni kubwa zaidi, japo takwimu zinambeba pep
 
Back
Top Bottom