List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

Kuna mpumbavu mwenzie anaitwa Kusah, siku hiz Mbosso kawa mnenguaji🤣 Bongo fleva ina vituko sana....
Hivi mboso anaimba nini...
Jamaa nilikua namkubli zamani ila alivoanza kujiita mboso khan nikaona jamaa sasa kafika sipo...😁😁😁

Sasa ukija kwa kusah 😁😁😁 mtoto wa kiume kweli una lipsi nzuri vile màñïñæ zake 😁😁😁
 
Baada ya kutosikiliza muziki muda mrefuuu, usiku wa leo(kiswahili usiku wa jana) nilipata mizuka, nikaona kila siku kina tupac na bob, ngoja nile za kizazi hiki, nikanogewa na mmakonde harmonize, ngoma kama
Nitaubeba.
Wote
Tena
Kuna moja jina sikumbuki anasema hana ushamba wa hela ndio maana hagombani na masela
ZANZIBAR, bonge la ngoma, hii zanziba watumie kama goma lao la taifa kiutalii.
Inanimaliza
Falling in love
Kuna moja anasema hata simu nikikupigia utaikata,

Nyingine sikumbuki kwa majina, kwemye uandishi na melody mmakonde hatari saana kale kajamaa.

Mario nilimsikiliza ila naona melody zinaingiliana kwa mbaaali, pia kwenye uandishi hana mistari mikali kama ya MJOMBA NCHUMALI.

Jana nimekuta youtube albamu kama 4 hivi za mjomba nchumali, nimezisikiliza karibia mgoma zote ni chache sana nimeruka.

Nyongeza nimesikiliza ngoma za ali kiba, ngoma pekee ilinivutia na nikairudia rudia ni UTU aisee bonge moja la ngoma plus mistari imenyooka, sitaki kuamini hii ngoma ali KAANDIKA mwenyewe, ali si muandishi mzuri wa mistari, yaani sitaki kuamini zile lyrics kaandika yeye, wajuzi mtaniambia nijiprove mwemyewe ile ngoma ali kaandika ama kaandikiwa. Ile ngoma itakuwepo kwenye kusherehekea miaka kadhaa ya ndoa yangu, siku hiyo kama nitakuwa mzima wa afya nitamfanyia mama watoto suprise, kwanza nitamsikilizisha ngoma ya TENA, NITAUBEBA na WOTE kisha atamalizia na UTU na kijizawadi kitakuwepo, hili wazo limekuja baada ya kusikiliza ngoma za MJOMBA NCHUMALI.
mkuu wewe mziki unaujua sio mshabiki tu saludos
 
Hivi mboso anaimba nini...
Jamaa nilikua namkubli zamani ila alivoanza kujiita mboso khan nikaona jamaa sasa kafika sipo...😁😁😁

Sasa ukija kwa kusah 😁😁😁 mtoto wa kiume kweli una lipsi nzuri vile màñïñæ zake 😁😁😁
Mkuu mimi na wewe kwenye mziki damudamu, sisikiliz mziki wa kishoga na msanii mse*mse* nampiga pini kabisa labda abadirike.
 
Baada ya kutosikiliza muziki muda mrefuuu, usiku wa leo(kiswahili usiku wa jana) nilipata mizuka, nikaona kila siku kina tupac na bob, ngoja nile za kizazi hiki, nikanogewa na mmakonde harmonize, ngoma kama
Nitaubeba.
Wote
Tena
Kuna moja jina sikumbuki anasema hana ushamba wa hela ndio maana hagombani na masela
ZANZIBAR, bonge la ngoma, hii zanziba watumie kama goma lao la taifa kiutalii.
Inanimaliza
Falling in love
Kuna moja anasema hata simu nikikupigia utaikata,

Nyingine sikumbuki kwa majina, kwemye uandishi na melody mmakonde hatari saana kale kajamaa.

Mario nilimsikiliza ila naona melody zinaingiliana kwa mbaaali, pia kwenye uandishi hana mistari mikali kama ya MJOMBA NCHUMALI.

Jana nimekuta youtube albamu kama 4 hivi za mjomba nchumali, nimezisikiliza karibia mgoma zote ni chache sana nimeruka.

Nyongeza nimesikiliza ngoma za ali kiba, ngoma pekee ilinivutia na nikairudia rudia ni UTU aisee bonge moja la ngoma plus mistari imenyooka, sitaki kuamini hii ngoma ali KAANDIKA mwenyewe, ali si muandishi mzuri wa mistari, yaani sitaki kuamini zile lyrics kaandika yeye, wajuzi mtaniambia nijiprove mwemyewe ile ngoma ali kaandika ama kaandikiwa. Ile ngoma itakuwepo kwenye kusherehekea miaka kadhaa ya ndoa yangu, siku hiyo kama nitakuwa mzima wa afya nitamfanyia mama watoto suprise, kwanza nitamsikilizisha ngoma ya TENA, NITAUBEBA na WOTE kisha atamalizia na UTU na kijizawadi kitakuwepo, hili wazo limekuja baada ya kusikiliza ngoma za MJOMBA NCHUMALI.

Upo sahihi , "Utu" sikumbuki vizuri kaiandika nani ila ni kati ya tommy flavour au Vanillah ..

Isingekuwa Nakupenda ya Jay melody kuwa mega hit, bhasi utu ingechukua wimbo bora wa mwaka.. Japo ukienda kwenye mashairi, utu imeshiba kuliko nakupenda
 
Mkuu mimi na wewe kwenye mziki damudamu, sisikiliz mziki wa kishoga na msanii mse*mse* nampiga pini kabisa labda abadirike.
Wasanii wa bongo wanatembea na upepo, mcheki Juma kaamua kuchange kabisa.

Akina Gnako sikuizi ata hawaeleweki wanaimba nini tena.

Wasanii naowakubali hawayumbishwi na upepo ila kwenye list yangu hawajaingia ni kina Navy Kenzo.
 
Hao uliotaja kina nyandu na bando wote now hawafati nguzo wana hiphop flan hivi simple kama kina ngwea ...
Ngwea??
Binafsi ukiachana na kashfa za madawa bado sijaona rapper mweny creativity kama Ngwea hapa Tz, hadi leo nina ngoma zake nyingi kweny simu na nina enjoy kusikiliza kuliko hata hizi trending za kina Lunya. Rapper mwingine ambaye naona ana creativity nzuri ni Joh Makini.

That's only my opinion.
 
mkuu wewe mziki unaujua sio mshabiki tu saludos
Nchumali ndiye nani tena huyo, Watu mziki tunaujua ni vibur tu vya watoto wa 2005 kutuletea ushoga na ngono zembe kwenye mziki wao.

#UTU NA UTULIVU 💯
 
Wasanii wa bongo wanatembea na upepo, mcheki Juma kaamua kuchange kabisa.

Akina Gnako sikuizi ata hawaeleweki wanaimba nini tena.

Wasanii naowakubali hawayumbishwi na upepo ila kwenye list yangu hawajaingia ni kina Navy Kenzo.
Twende mbele turud nyuma, kwenye list yako hapo juu Msanii Star anaetrend muda wote aliebaki salama naeza msikiliza bila kuona aibu ni ALIKIBA tu, Konde boy kuna muda ni mse*mse* nae.
 
Twende mbele turud nyuma, kwenye list yako hapo juu Msanii Star anaetrend muda wote aliebaki salama naeza msikiliza bira kuona aibu ni ALIKIBA tu, Konde boy kuna muda ni mse*mse* nae.
Konde Boy kweli kuna muda anakuaga na ufalaufala mwingi ila linapokuja suala la muziki anajua mpaka anajua tena, ni kama maji.
 
Konde Boy kweli kuna muda anakuaga na ufalaufala mwingi ila linapokuja suala la muziki anajua mpaka anajua tena, ni kama maji.
Sahih kabisa, unajua kutenganisha muziki wa mtu na maisha yake binafs.
 
Ngwea??
Binafsi ukiachana na kashfa za madawa bado sijaona rapper mweny creativity kama Ngwea hapa Tz, hadi leo nina ngoma zake nyingi kweny simu na nina enjoy kusikiliza kuliko hata hizi trending za kina Lunya. Rapper mwingine ambaye naona ana creativity nzuri ni Joh Makini.

That's only my opinion.
Joh makini tatizo kapoa sana...
Akinukishi ,😁😁😁
 
Upo sahihi , "Utu" sikumbuki vizuri kaiandika nani ila ni kati ya tommy flavour au Vanillah ..

Isingekuwa Nakupenda ya Jay melody kuwa mega hit, bhasi utu ingechukua wimbo bora wa mwaka.. Japo ukienda kwenye mashairi, utu imeshiba kuliko nakupenda
Sijawahi isikiliza kabisa hiyo nakupenda, nimeisikia sikia nakuona clips wakati ikitrend,hivyo sijasikia mashairi yake, melody ni nzuri ila naamini UTU ni bora kote kote, kale ka biti, mistari na melody yake.

Jana nimeisikiliza vizuri mnoo, akili ikaniambia kiba HAWEZI andika mistari kuntu kama hii, hizi ni level za kina harmonize, mondi hivi.
Kiba vimashairi vyake ni ujanja ujanja, kuna baadhi ya ngoma kuna mashairi mazuri na sina hakika na mwandishiwa hizo ngoma.. Mfano mwingine ni DUSHELELE, ukisikiliza yale mashairi unaona huyu aliandika akiwa katuliza kichwa... Na siku hizi kaacha zamani ngoma nyingi alikuwa anajitaja ALI, mfano ile aje bonge la ngoma, melody ni A+ mistari ni B ama C kabisa.
 
Sijawahi isikiliza kabisa hiyo nakupenda, nimeisikia sikia nakuona clips wakati ikitrend,hivyo sijasikia mashairi yake, melody ni nzuri ila naamini UTU ni bora kote kote, kale ka biti, mistari na melody yake.

Jana nimeisikiliza vizuri mnoo, akili ikaniambia kiba HAWEZI andika mistari kuntu kama hii, hizi ni level za kina harmonize, mondi hivi.
Kiba vimashairi vyake ni ujanja ujanja, kuna baadhi ya ngoma kuna mashairi mazuri na sina hakika na mwandishiwa hizo ngoma.. Mfano mwingine ni DUSHELELE, ukisikiliza yale mashairi unaona huyu aliandika akiwa katuliza kichwa... Na siku hizi kaacha zamani ngoma nyingi alikuwa anajitaja ALI, mfano ile aje bonge la ngoma, melody ni A+ mistari ni B ama C kabisa.
Mkuu unajua kuchambua mziki vizuri af hauna ushabiki mandazi, kudos for that.!

Mimi mziki wa Bongo naupenda sana kwa kuwa unapigwa kila kona ila ni mpenzi mkubwa sana wa Rhumba na HipHop.
Huku kwenye BongoFleva wasanii wamekua na janjajanja nyingi sana wa kutembea na upepo, Namba moja kabisa ni Ali na Shemeji yake Nasibu. Hao ni waigizaji pro max maana mashairi yao ni 0 na wengine kibao
 
1. Marioo
2. Harmonize
3. Jay Melody
4. Mbosso
5. Jux
6. Chino
7. D. Platnumz
8. Zuchu
9. Alikiba
10. Nandy

Hizo takwimu ni kutokana na performance zao huku mtaani ndani ya miaka mitano ya hivi karibuni kulingana na mtazamo wangu.

Nipe List yako
Kweli kipenda roho. Mimi hapo kuna wasanii hata sijawahi kuwasikia, ndio nawaona hapa
 
1. Marioo
2. Harmonize
3. Jay Melody
4. Mbosso
5. Jux
6. Chino
7. D. Platnumz
8. Zuchu
9. Alikiba
10. Nandy

Hizo takwimu ni kutokana na performance zao huku mtaani ndani ya miaka mitano ya hivi karibuni kulingana na mtazamo wangu.

Nipe List yako
Burna boy ndiye msanii namba 1 Africa kwa ndani ya hii miaka ya karibuni, ina maana ngoma zake zinapigwa sana Africa na viunga vyake??????? Umeweka List yako alaf unaziita "Hizo takwimu ni kutokana na performance" yaani list imegeuka kuwa takwimu 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom