William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Malecela is a shrewd politician. Anajua kuwa Kikwete kashika mpini na yeyote atakayetaka kwenda against Kikwete, at least in the short term, ana kazi ngumu kwani Kikwete ana dola, na yeyote anayejikombakomba kwa Kikwete anapalilia ustawi wake.
Other than that, he was jsut exercising his "right" to be a senile old man, hajasikika siku nyingi alitaka watu wajue na yeye yupo, hamna chochote worthwile in my opinion alichosema.
- Mkuu na wewe useme unamtaka nani kugombea urais, hakuna politician asiyekua shrewd, uzee sio dhambi maana hata wazee wetu wengine ni wazee na hakuna noma uchaguzi ukija wanapiga kura kwa mgombea wanayemtaka,
- Mzee hakuongea lolote worthy kwako lakini kila kona ya forums malecela malecela sometimes mnachekesha, jana ametusaidia sana CCM na wanaotaka kuharibu amani yetu katika chama chetu.
Kidumu CCM!
FMES!