TozzyMay
JF-Expert Member
- Dec 30, 2023
- 482
- 1,787
'tayari kwa lolote ' '++++ -----'Tunataka Chadema imara, Tunataka upinzani ambao uko tayari kwa lolote. Nchi imekua kama ya watu flani. Tumechoka , Bora tuchome pori Kila Nyoka atafute shimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'tayari kwa lolote ' '++++ -----'Tunataka Chadema imara, Tunataka upinzani ambao uko tayari kwa lolote. Nchi imekua kama ya watu flani. Tumechoka , Bora tuchome pori Kila Nyoka atafute shimo
Umesema ukweli ndo maana alipozuiwa na polisi akienda mlandizi kwenye kampeni aliwambia polisi atalala hapohapo barabarani.Ndo maana walipozuia meli kule ukerewe akapanda boti na kampeni zikaendelea.Hii haina maana mbowe hafai;tungependa mtu asiyechezewa chezewa kama TunduLISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.
Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.
Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.
Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.
Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu
Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.
Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.
Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.
Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.
Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.
LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
Kagame sio shida kama anafanya vizuri.Haahaa m
Huwezi kuitakia mema chadema kwa kuendeleza ukagame, huo ni unafiki, siku ccm ikiondoa ukomo uongozi wa nchi mtaanza kulialia
Lissu anafaa tu kuwa chini ya mtu mwenye busara zaidi na huyo ni Mbowe.Umesema ukweli ndo maana alipozuiwa na polisi akienda mlandizi kwenye kampeni aliwambia polisi atalala hapohapo barabarani.Ndo maana walipozuia meli kule ukerewe akapanda boti na kampeni zikaendelea.Hii haina maana mbowe hafai;tungependa mtu asiyechezewa chezewa kama Tundu
Umesema ukweli ndo maana alipozuiwa na polisi akienda mlandizi kwenye kampeni aliwambia polisi atalala hapohapo barabarani.Ndo maana walipozuia meli kule ukerewe akapanda boti na kampeni zikaendelea.Hii haina maana mbowe hafai;tungependa mtu asiyechezewa chezewa kama Tundu
Mtu yeyote anayekidhi sifa na vigezo, anaweza kugombea urais, issue ni jee ni presidential material?.Mkuu mbona upinzani bado una watu makini ambao wana uwezo wa kuwa kugombea urais mathalan Heche, wenje na kadhalika.
Lissu akishinda chadema inakufa maana yeye atakuwa mapumziko ubelgiji na mke wake mzunguHaahaa m
Huwezi kuitakia mema chadema kwa kuendeleza ukagame, huo ni unafiki, siku ccm ikiondoa ukomo uongozi wa nchi mtaanza kulialia
Mjinga tu Lissu.LISU ni Yakobo anajua kung'ang'ana
Hapana yaelezwe, ila nachozungumzia ni kwamba kama chama cha siasa hatoshi kuishia kuwa mzungumzaji mzuri wa kuelezea maovu na mapungufu ya chama tawala tu bali onesha kuwa wewe ndio unafaa kuwa mbadala wa hiko chama tawala.Kama kuna mambo yakielezwa kwa wananchi ni maovu kiasi kwamba watu wanajawa na chuki dhidi ya chama tawala unataka yafichwe wananchi wasiyafahamu ili wasijawe na chuki dhidi ya CCM?
Usemi Mzuri Sana.Hapana yaelezwe, ila nachozungumzia ni kwamba kama chama cha siasa hatoshi kuishia kuwa mzungumzaji mzuri wa kuelezea maovu na mapungufu ya chama tawala tu bali onesha kuwa wewe ndio unafaa kuwa mbadala wa hiko chama tawala.
Mjinga tu Lissu.