Lisu atarudisha itikadi/Imani ya watu kwa CHADEMA. CHADEMA mpeni uenyekiti.

Umesema ukweli ndo maana alipozuiwa na polisi akienda mlandizi kwenye kampeni aliwambia polisi atalala hapohapo barabarani.Ndo maana walipozuia meli kule ukerewe akapanda boti na kampeni zikaendelea.Hii haina maana mbowe hafai;tungependa mtu asiyechezewa chezewa kama Tundu
 
Lissu anafaa tu kuwa chini ya mtu mwenye busara zaidi na huyo ni Mbowe.
 

LISU ni Yakobo anajua kung'ang'ana
 
Mkuu mbona upinzani bado una watu makini ambao wana uwezo wa kuwa kugombea urais mathalan Heche, wenje na kadhalika.
Mtu yeyote anayekidhi sifa na vigezo, anaweza kugombea urais, issue ni jee ni presidential material?.

Moja ya sifa muhimu za presidential material ni statesmanship, ndani ya Chadema Mbowe ndio ana statesmanship, TL na Heche, hawana statesmanship, ni kama ma holigan fulani hivi!.

P
 
Haahaa m



Huwezi kuitakia mema chadema kwa kuendeleza ukagame, huo ni unafiki, siku ccm ikiondoa ukomo uongozi wa nchi mtaanza kulialia
Lissu akishinda chadema inakufa maana yeye atakuwa mapumziko ubelgiji na mke wake mzungu
 
Kama kuna mambo yakielezwa kwa wananchi ni maovu kiasi kwamba watu wanajawa na chuki dhidi ya chama tawala unataka yafichwe wananchi wasiyafahamu ili wasijawe na chuki dhidi ya CCM?
Hapana yaelezwe, ila nachozungumzia ni kwamba kama chama cha siasa hatoshi kuishia kuwa mzungumzaji mzuri wa kuelezea maovu na mapungufu ya chama tawala tu bali onesha kuwa wewe ndio unafaa kuwa mbadala wa hiko chama tawala.
 
Hapana yaelezwe, ila nachozungumzia ni kwamba kama chama cha siasa hatoshi kuishia kuwa mzungumzaji mzuri wa kuelezea maovu na mapungufu ya chama tawala tu bali onesha kuwa wewe ndio unafaa kuwa mbadala wa hiko chama tawala.
Usemi Mzuri Sana.
Upinzani unatakiwa kuwa Jicho linaloona si mabaya tu bali na mazuri.
Kuwa mpinzani wa kisiasa isimaanishe uegemezi wa upande mmoja upande wa mabaya pekee kuangusha upande wa mazuri isiwe lengo.
Ingekuwa Bora kama wapinzani wangekuwa wanatoa tafsiri Zote za mabaya na Mazuri ili kuwawia urahisi wao kueleweka na wananchi.
Ingependeza Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…