Lisu ni mtu sahihi Kwa Taifa letu ila Taifa letu Lina ushabaki wa wa upendeleo wa chama tawala

Lisu ni mtu sahihi Kwa Taifa letu ila Taifa letu Lina ushabaki wa wa upendeleo wa chama tawala

Usisahau, Watu sahihi hawatakiwi kwenye uongozi wa nchi.
Vibaraka na Machawa ndio wenye sifa.
 
🤝
Lissu anafaa kuwa rais bila kujali chama alichopo, n bc tuu watz n vichwa maji. Tunamuhitaji JPM wa pili ambaye ni Lissu.
 
Back
Top Bottom