Lisu ueleze UMMA wa watanzania Abdul Samia alitaka kukuhonga ili ufanye nini?

Maswali ya kijinga kabisa ,uyo sijui Abdul alienda kwa lissu kufanya nini, na kama alijitapa kwamba madai yake anaweza kuyashughulikia mpaka akafika kwa lissu nyumbani kwake so lissu kumpa vielelezo ambavyo ni used (maana alisha vituma kwa mamlaka shida ipo wapi?)

Je Abdul alienda kwa lissu akiwa mtupu mkononi?

Kama sivyo lissu alikataa rushwa ya maneno au keshi , na kama ni keshi kwa nini aliikataa keshi ili hali anataka jasho lake halali .

Lissu sio mwendawazim asikilizwe ,yupo na hoja muhim sana ,sema tunajitoa ufaham shindwa kutafakari maneno yake kwa kina.
 
Kipndi mwendazake amekata moto Lissu alihojiwa na BBC akasema na mlinzi wa mwendazake amekata moto kwa corona... zilikuwa ni rumours za mtandaoni yeye akaruka nazo moja kwa moja kwenye interview 🐼
Magufuli Hakufa Kwa Corona.

Wote ni mashuhuda wa namna marehemu wa covid 19 walivyozikwa nyakati zile. Ni tofauti na namna Mwili wa Hayati Magufuli ulizikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…