Liswemwalo lipo: Je, ni kweli kuna uchotwaji wa kutisha wa pesa na madini huko BoT?

Liswemwalo lipo: Je, ni kweli kuna uchotwaji wa kutisha wa pesa na madini huko BoT?

Umewaza kitoto sana
Hivi kwa dhamana aliyokuwa nayo dotto au bashiru angeagiza pesa itoke Bot kwajili ya matibabu feki ya jiwe isingetoka? Au nyie suala la kukwapua mnafikiria kwamba walienda na mapanga na marungu?
Dogo kawaza kipuuzi sna eti Kuna kamera nilicheka tu alivyo inaelkea ufahamu wake Ni mdog San ktk maswla nyeti
 
Hv nyiny mnafikir BOT ni CRDB eeh ila taasisi nyet bila wakubwa hupig niliwah ingia mule ndan aiseee kila kona camera
Ahaaha wew dogo inaonesha wew ujui lolote kuhusu uchotaji pesa hasa BOT kamera inasaidia nn Apo Sasa ...umewaza kiujing saana inaonesha ujui maswala nyeti uko tu humu kimakosa
 
Umewaza kitoto sana
Hivi kwa dhamana aliyokuwa nayo dotto au bashiru angeagiza pesa itoke Bot kwajili ya matibabu feki ya jiwe isingetoka? Au nyie suala la kukwapua mnafikiria kwamba walienda na mapanga na marungu?
Hiyo alidhani Waziri ndio anatoa pesa,hajui maana ya Dotto kuwa Katibu Mkuu Hazina na Mlipaji Mkuu wa Serikali.kwenye Nchi yeye ndio Top wa kuamuru pesa itoke au isitoke.
 
awamu iliyopita inakuwaje na madudu zaidi wakati,hata wewe umesema majanga yanaonekana kutokea baada ya mzee kuwa na hali mbaya.

ndio maana hata bimkubwa amaetaka ripoti ianzie januari,mama ni muumini mzuri wa itikadi za jpm.
Endelea kutetea uozo?? Maana hata kifo tu ulikataa
 
Nasubiria hili game kama tunavyosubiria
Real Madrid vs Man utd
 
Jiulize kama iliweza kua kweli kwa magufuli ,kwann vitu isiwe kweli.
 
1616952559341.jpeg

Wakuu habari zenu,

R.I.P jemedali na mbabe wa vita JPM.

Kumekuwa na habari zikizunguka mtandaoni siku nyingi kabla hata ya Rais kutangazwa kifo, kwamba huko benki Kuu yetu ya Taifa kuna watu wamekwapua pesa na madini.

Hiki kilikuwa kipindi ambacho tetesi zimezagaa kwamba Rais anaumwa na baadae zikaenea kwamba ameaga dunia kabla mamlaka husika ya serikali kuthibisha.

Hatimaye, Serikali ikathibitisha Rais ameaga dunia, na tayari tumezika cha kushangaza leo CAG na TAKUKURU wametoa ripoti zao mbele ya Rais mpya mama Samia....Na mama ameagiza uchunguzi ufanyike BOT kuanzia january mpaka march 2021.

Je mama kanusa harufu ya hatari kama taarifa zinavyosambaa mtandaoni kwa mda mrefu sasa?

Na kwa nini iwe january mpaka march? Hapa ndio napata ukakasi zaidi..maana kipindi hiki ndio hali ya Rais JPM ilianza kuteteleka na hatimaye uvumi wa kupora pesa BOT kwa kufoji sign yake ukazagaa...

Kama ni kweli, awamu iliyopita inaweza kuwa na madudu mengi zaidi..

Tusubiri..mda haujawahi kuongopa.
 
Huenda kuna ma EPA na ma ESCROW yalikuwa yanaendelea, ila sababu media/vyombo vya uchunguzi viligeuka kuwa propaganda na kila anayehoji either ni beberu au mkosa uzalendo huenda ikawa ngumu kupata madudu yote yaliyotendeka..
 
Je iyo report ya BOT sijui itatoka lini mana nasikilizia kwa hamu nione Madudu yanavovurundwa!!!?
 
Back
Top Bottom