- Thread starter
- #61
Na mimi pia mkuuJe iyo report ya BOT sijui itatoka lini mana nasikilizia kwa hamu nione Madudu yanavovurundwa!!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi pia mkuuJe iyo report ya BOT sijui itatoka lini mana nasikilizia kwa hamu nione Madudu yanavovurundwa!!!?
Baba wa TaifaBahati nzuri mama kaagiza uchunguzi ufanyike kule BOT mbivu na mbichi zitajulikana haraka sanaaaa
Hv nyiny mnafikir BOT ni CRDB eeh ila taasisi nyet bila wakubwa hupig niliwah ingia mule ndan aiseee kila kona camera
Endelea kutetea uozo?? Maana hata kifo tu ulikataa
Nitakuwa soo disappointed ikiwa huyu mtu ameshiriki kwenye ubadhirifu wa aina yoyote ile wa mali ya umma. Ni mhadhri aliyenifundisha kwa miaka miwili na siku zote niliona integrity ndani yake. Nakumbuka mhadhara wake mmoja nilioupenda juu ya uwajibikaji. Nakumbuka alisema kuwa mtumishi wa umma anawajibika kwa taasisi anayofanyia kazi, bunge na mahakama...Sijui ni nini kimempata mpaka aingie kwenye kashfa ya uporaji fedha! Au ni siasa tu. Bado naamini Yuko safi na hasa imani na msimamo wake juu ya Azimio la Arusha.
Pole Mkuu.. Hata Shetani alikuwa Malaika.. tena Mkuu.Nitakuwa soo disappointed ikiwa huyu mtu ameshiriki kwenye ubadhirifu wa aina yoyote ile wa mali ya umma. Ni mhadhri aliyenifundisha kwa miaka miwili na siku zote niliona integrity ndani yake. Nakumbuka mhadhara wake mmoja nilioupenda juu ya uwajibikaji. Nakumbuka alisema kuwa mtumishi wa umma anawajibika kwa taasisi anayofanyia kazi, bunge na mahakama...Sijui ni nini kimempata mpaka aingie kwenye kashfa ya uporaji fedha! Au ni siasa tu. Bado naamini Yuko safi na hasa imani na msimamo wake juu ya Azimio la Arusha.
Ingawa Mara fulani sikupenda approach yao yeye na Pole Pole kwa Rais mstaafu wa awamu ya nne, bado nina imani ni mtu Safi au labda aliingizwa mkenge
Shukrani mkuu..ngoja tusubiri ripotiPole Mkuu.. Hata Shetani alikuwa Malaika.. tena Mkuu.
Na huo ndio ukweli wenyewe ...Bahati nzuri mama kaagiza uchunguzi ufanyike kule BOT mbivu na mbichi zitajulikana haraka sanaaaa
Daaah we jamaa huon aibu kuandika pumba hivi, yaan wiz wa mapesa umasema kuna Camera!!!!? Kwaiyo unawaza kuwa ni wiz wa kutumia nguvu etiiii!!??? Yaan mimekosa jibu lepes kukujibuHv nyiny mnafikir BOT ni CRDB eeh ila taasisi nyet bila wakubwa hupig niliwah ingia mule ndan aiseee kila kona camera
Na zile hasara je za ndege??kama walisubiri mzee afariki ndipo waibe,unapata picha ipi!!!
by the way uadilifu wa mtu unapimwa anapopewa dhamana.
huku kwingine kelele ni nyingi sana sababu tupo tupo tu.