Lita 1 ya petrol inaweza kutembeza pikipiki ya TVS kilomita ngapi?

Lita 1 ya petrol inaweza kutembeza pikipiki ya TVS kilomita ngapi?

Jana maeneo ya puma headquarters ( kama unatokea port geti namba 3 kuelekea kamata).

Kuna jamaa kamwaga ubongo pale, alikua na SUZUKI 1200 cc, three pipes. Alikua akitokea ile njia ya bandarini kuelekea town, sasa maeneo yale kuna mkeka safi wa kuvutia lakini kuna kona za kizushi.

Jamaa katokea huko kajiachia kwenye ile barabara, ghafra bin vuu anakutana na sharp corner, bike ikamshinda akaenda chini, kichwa kikapiga kwenye ngema ubongo wote ukamwagika.

Hakuvaa helment zaidi ya miwani tu.
Nilipita pale nikakuta Bodaboda zimejaa, wakasema kuna jamaa kapata ajali
 
Jana maeneo ya puma headquarters ( kama unatokea port geti namba 3 kuelekea kamata).

Kuna jamaa kamwaga ubongo pale, alikua na SUZUKI 1200 cc, three pipes. Alikua akitokea ile njia ya bandarini kuelekea town, sasa maeneo yale kuna mkeka safi wa kuvutia lakini kuna kona za kizushi.

Jamaa katokea huko kajiachia kwenye ile barabara, ghafra bin vuu anakutana na sharp corner, bike ikamshinda akaenda chini, kichwa kikapiga kwenye ngema ubongo wote ukamwagika.

Hakuvaa helment zaidi ya miwani tu.
Yatakua GSX-R duh watu wanazizoea wanachukulia poa.
 
Naona bike nyingi saizi zimeingia kutokea Zenji, Honda CB400 Super Four mpaka za 2008 watu wameingiza zina usajili wa Zanzibar
Namimi ninampango wa kuchukua CBR 600 just for fun tu mara moja moja, kuna mrembo yupo insta anaitwa maryam, tag yake ni (amam23)

Demu anani inspire sana kwenye michezo ya bikes
 
Jana maeneo ya puma headquarters ( kama unatokea port geti namba 3 kuelekea kamata).

Kuna jamaa kamwaga ubongo pale, alikua na SUZUKI 1200 cc, three pipes. Alikua akitokea ile njia ya bandarini kuelekea town, sasa maeneo yale kuna mkeka safi wa kuvutia lakini kuna kona za kizushi.

Jamaa katokea huko kajiachia kwenye ile barabara, ghafra bin vuu anakutana na sharp corner, bike ikamshinda akaenda chini, kichwa kikapiga kwenye ngema ubongo wote ukamwagika.

Hakuvaa helment zaidi ya miwani tu.
Kasumba iliyozoeleka sana kwa madereva wa pikipiki zisizofanya usafirishaji wa abiria hii ya kutovaa helmet ni mojawapo; nyingine ni kuvaa flana au shati/t-shirt tu. Na aghalabu polisi hawajishighulishi nao.


Nasemea kuanzia Yamaha DT, hii midude injini kubwa kuanzia cc 200-1,000 na za serikali. Sijuu nani aliwadanganya ajali zina ubaguzi.
 
Naomba kuuliza lita 1 ya petrol inaweza kutembea kilomita ngapi kwa pikipiki za TVS

Kingine naomba kujua bei ya petrol lita 1 ni shilingi ngapi kwa sasa.
3200-3400 per liter depending on your location,TVs inakadiriwa ikimbie 60-70 km/liter,ila sijawi endesha kudhibitisha me nimezoea snlg huwa Niko weka mafuta ya elfu 30 nakata mwezi na kidogo kilingana na rout zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom