Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
-
- #41
Sawa mkuu shukran3200-3400 per liter depending on your location,TVs inakadiriwa ikimbie 60-70 km/liter,ila sijawi endesha kudhibitisha me nimezoea snlg huwa Niko weka mafuta ya elfu 30 nakata mwezi na kidogo kilingana na rout zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakukatalia katakata.katika pikipiki zote:houjue,boxer,sunlg,fekon,tvs,kinglion. pikipiki ambayo imeonesha ina matumizi mazuri ya mafuta ni tvs 125.(sijaongelea vespa kwa kuwa sina uzoefu nazo)1LITRE = 80 KMS HAOUJUE
Ulinunua kiasi ganiMimi last week nimenunua Haojue express 125 ni moja kati ya pikipiki nzuri sana kwa engine ndogo.
Inakula mafuta vizuri na unatembea utakavyo.
Nunua haojue express hutojutia mkuu
++Bei zinatofautiana kutokana na mkoa uliopo.
Kwa Dar Petrol kwa sasa ni 3200 Tsh.
TVS vina engine ndogo cc 125 vinaweza kwenda hadi kilometa 50 kwenda juu, factors zipo nyingi mfano uendeshaji, milima au tanbarare, mzigo uliobeba service history...
🙏🙏🙏Mi nimewahi miliki pikipiki mbili tu, KTM cc390 na CBR cc650. Nilipewa maangalizo mawili makubwa Wekeza Sana kwenye Usalama wako (Safety Gears) na kua na heshima sana barabarani.
Usichukulie poa.
Unakuta mtu anaendesha pikipiki na sendo. Aisee. Ukiangimuka unapoteza vidole vyote.
Bila kofia ngumu. Au anavaa kofia ya elfu 15 sijui zile unapewa bure ukinunua pikipiki. Siwasemi ila hamna kitu pale.
Unaendesha na vest, shati, bila koti.
Etc etc etc
Wekeza sana kwenye safety gear, kuan na heshima usiendeshe kama una haraka umeacha familia umeenda kutafuta ugali wanataka jioni urudi sio wao waje hospital kukuona.
Haoujue cc ngapi kwa 1 Lita unatembea km 80?1LITRE = 80 KMS HAOUJUE
Cc 125Haoujue cc ngapi kwa 1 Lita unatembea km 80?
Bilashaka zile cc 110 ziko kama vespar au sanyo zile ndogoHaoujue cc ngapi kwa 1 Lita unatembea km 80?
Pikipiki TVS 150 inaenda 50km/L hivi
Vipi kwa bajaji ya abiria kwa uzoefu wakoPikipiki TVS 150 inaenda 50km/L hivi
Used sio mpyaVipi kwa bajaji ya abiria kwa uzoefu wako
40km mpk 45km
90km per literNaomba kuuliza lita 1 ya petrol inaweza kutembea kilomita ngapi kwa pikipiki za TVS
Kingine naomba kujua bei ya petrol lita 1 ni shilingi ngapi kwa sasa.
90km per liter
Sio kweliNdio tena kama mpya na Road imenyoook TVS unaenda hadi kilomita 65
Yaan kutoka UBUNGO mataa mpk RUVU darajani pale safii kwa lita moja tu unatoboa