Live from EA Radio Super Breakfast: Mtangaza Nia Urais wa JMT Kupitia Chadema, Dr. Mayrose Majinge Yuko Live, Mubashara

Gamba huyooo,katumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nje ya mada kidogo.
Hilo bango, kwan hiyo ndio picha nzur pekee alionayo huyu mama?Katokea ki hip hop sana yan

Ahsante
 
Mkuu una hoja ya msingi sana ila tuambiane jambo moja kwamba kabla hatujataka uhuru wa Tume kitaifa, Tengenezeni uhuru wa uchaguzi ndani ya vyama vyenu ya Kisiasi, mpaka leo kile chama kikuu cha upinzani huko Tanzania kinalalamikiwa kutokuwa huru kwenye chaguzi zake za ndani, wanachama wanalalama, wabunge wenu pia wanalalamika kwamba kiongozi ni yule yule tu. Jambo la muhimu ni wananchi kujitambua. Hata Mbowe na Chadema wangekuwa Ikulu wangesema NEC ni tume huru na CCM wangepinga! πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Sema mwenye chama hujapata hela za uwekezaji wake hivyo hawezi kumpa hiyo nafasi
Sawa kama mwenye CCM anavyowaendesha kama vifaranga wake. Ngoja nione kama kuna mtu atatia nia ya urais!
 
Sawa kama mwenye CCM anavyowaendesha kama vifaranga wake. Ngoja nione kama kuna mtu atatia nia ya urais!
Mbona ukilinganisha chapati kwa andazi??
Huyo Mwenyekiti wa Maisha anajijua hawezi kugombea, lakini ana fursa ya kurudisha fedha alizowekeza, ndio maana alimuomba Dr Slaa, baadae akachukua kutoka kwa EL, wakati wa CCM ni Raisi wa sasa ambaye ananafasi ya kugombea au kutogombea
 
Safari ya CHADEMA ndefu sana. Lakini najua nia yao sio kuchukua kiti cha raisi nafikiri coz huwezi kuja na mtu asiyejulikana kisiasa ikawa rahisi kuchukua nchi, chadema ilipaswa kumuandaa mtu wa hyo nafasi kwa muda mrefu na apewe airtime ili ajulikane mapema na Mambo mengine lakini Sasa hv wanachomoka na mtu hata asiyejulikana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…