Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba umuulize hili swaliKuzipima Mamlaka za serikali za mtaa jinsi zinavyoboresha mazingira ya biashara.
P
Hili ndio muhimu na lita okoa vijana, kijana aki maliza kusoma haelewi hata fedha Ina fanya kazi vipi.Elimu ya fedha ianze mapema.
P
lakini mkumbushe pia kuongea pasipo kutekeleza, ni kuidanganya nafsi yako mwenyewe.Prof Kitila amesema ili Tanzania tupige hatua za maendeleo kwa haraka, lazima tuwe changing mind set,akashanga tuko kwenye karne ya sayansi na teknolojia,haiwezekani za sekondari hairuhusiwi kuwa na simu,iPad au computers?。
P
Teh teh teh 😃 😃... Lile swali lako kwa JPM bado linakumbukwa..Japo hapa sii mahala pa swali hili, japo mimi ni mtu wa kawaida tuu, na mwandishi wa kawaida tuu, kuna watu wananiogopa!, enzi za kipindi changu cha kiti moto, kuna viongozi walikuwa wakialikwa, wanakimbia!. Maswali yangu hayatabiriki!.
P
Unanikumbusha Yale ya yule waziri wa Magufuli wa cherehani nne tayari kiwanda na hata kuokoto makopo ni ajira.TIC imesajili miradi zaidi ya miradi 900!, imezalisha ajira zaidi ya laki mbili, imevutia miradi ya dola zaidi ya bilioni 9!. -Prof. Kitila.
P.