Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Paloma ni bonge la sentahafu....ila ukweli utabaki kuwa charminglady ndio namba moja wangu..Kumbe Paloma kisiki cha mpingo eenh!? Hiyo ilitulia hata mimi nampa big up.
Halafu ujue charminglady ni dada yangu toka nitoke. Sasa unapoanza kupiga misele kwa mdogo wa my wifey mwaJ hapo naona utata!?
Paloma ni bonge la sentahafu....ila ukweli utabaki kuwa charminglady ndio namba moja wangu..
Huyo mdogo wake mwaJ nataka kumlea tu mkuu...ila ya Mungu mengi kwani hatujui mpango wake ni upi kunikutanisha nae jana...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
We guna tu,naona jana uling'ang'aniwa kama kupe
Nilitegemea usinisome. Kwa hiyo riraksi, lol
Copy Mamdenyi
Shikamoo Zion Daughter...naomba ufute hiyo copy ntakununulia pipi kidonge...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
hata mimi pia mkuu. jana nlikua mia mbili sababu ya furaha ya kumuona rafiki yangu amu na Thanda. miaNilifurahi sana kukuona figganigga mzee wa mia! Lakini nahisi jana mlikuwa 200
Paloma ni bonge la sentahafu....ila ukweli utabaki kuwa charminglady ndio namba moja wangu..
Huyo mdogo wake mwaJ nataka kumlea tu mkuu...ila ya Mungu mengi kwani hatujui mpango wake ni upi kunikutanisha nae jana...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ha ha ha....marhabaaaa...Ongeza rushwa hiyo haitoshi..kuna mfumuko wa bei siku hizi
Mie sijambo kabisa....jana ulipendeza kwa kweli...wewe na yule mdogo wetu!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Madame B ndo kakuacha sio mimi. haukumbuki jana usiku tulipotoka makumbusho nlikusindikiza hadi kwako?. miamadam!!!!!!!!!!! swahili ni poa sana, but I need Thando to teach me more. Tutakupeleka mtoto wa Mwanamke wapi leo. Let me ask figganigga, but I am worried ataniacha kama pale jana
Bazoka basi itafaa.. lkn kwa ajili ya Paloma nimefuta copyHa ha...au wataka jojo...we taja tu
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Asante, wadada wote walipendeza sana. Hivi wakaka huwa wanaambiwa wamependeza? Nisije nikakosa adabu.
Bazoka basi itafaa.. lkn kwa ajili ya Paloma nimefuta copy
Naomba kujua ile style ya nywele inaitwaje maana niliipenda sana
Nashukuru kwa kufuta maana nimemtuma shamba na angerudi na kukuta ile kopi moto ungewaka...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mkuu Vin Diesel mbona unamsumbua sumbua sana my wifey mwaJ hujui kwamba muda huu ananihudumia mimi mumewe!?
Madame B ndo kakuacha sio mimi. haukumbuki jana usiku tulipotoka makumbusho nlikusindikiza hadi kwako?. mia