Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Kumbe Paloma kisiki cha mpingo eenh!? Hiyo ilitulia hata mimi nampa big up.

Halafu ujue charminglady ni dada yangu toka nitoke. Sasa unapoanza kupiga misele kwa mdogo wa my wifey mwaJ hapo naona utata!?
Paloma ni bonge la sentahafu....ila ukweli utabaki kuwa charminglady ndio namba moja wangu..
Huyo mdogo wake mwaJ nataka kumlea tu mkuu...ila ya Mungu mengi kwani hatujui mpango wake ni upi kunikutanisha nae jana...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nilitegemea usinisome. Kwa hiyo riraksi, lol





loafer |ˈlōfər|
noun
1 a person who idles time away.


file:///Library/Dictionaries/New%20Oxford%20American%20Dictionary.dictionary/Contents/Images/loafer.png
2 trademark a leather shoe shaped like a moccasin, with a low flat heel.
ORIGIN mid 19th cent.: perhaps from German Landläufer ‘tramp,' from Land ‘land' + laufen (dialect lofen) ‘to run.'

Hii ni kwa wale waliokuwa hawajui LOAFERS kama mimi

Thanks King'asti for your hospitality.

 
Hahahahahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Mie sijambo kabisa....jana ulipendeza kwa kweli...wewe na yule mdogo wetu!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Asante, wadada wote walipendeza sana. Hivi wakaka huwa wanaambiwa wamependeza? Nisije nikakosa adabu.
 
madam!!!!!!!!!!! swahili ni poa sana, but I need Thando to teach me more. Tutakupeleka mtoto wa Mwanamke wapi leo. Let me ask figganigga, but I am worried ataniacha kama pale jana
Madame B ndo kakuacha sio mimi. haukumbuki jana usiku tulipotoka makumbusho nlikusindikiza hadi kwako?. mia
 
Last edited by a moderator:
aisee Vin disel ...jana ilikuaje jana nilichomoka ghafla ..kwema lkn.. amu..niaje
 
Last edited by a moderator:
Asante, wadada wote walipendeza sana. Hivi wakaka huwa wanaambiwa wamependeza? Nisije nikakosa adabu.

Mh hata sijui....kuna haja ya kuuliza wahenga wanasemaje....
Ila kama nimeelewa vile ulichotaka kusema.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
aisee Vin disel ...jana ilikuaje jana nilichomoka ghafla ..kwema lkn.. amu..niaje

Ile ya jana ilikuwa offside....inatakiwa fanyika mara moja kwa mwaka..
Mie nilistuka haupo maeneo nikajua umetukimbia.
Sie tulirudi salama na nimecheki na amu pamoja na Paloma wapo safi kabisa.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Bazoka basi itafaa.. lkn kwa ajili ya Paloma nimefuta copy

Naomba kujua ile style ya nywele inaitwaje maana niliipenda sana
Nashukuru kwa kufuta maana nimemtuma shamba na angerudi na kukuta ile kopi moto ungewaka...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Naomba kujua ile style ya nywele inaitwaje maana niliipenda sana
Nashukuru kwa kufuta maana nimemtuma shamba na angerudi na kukuta ile kopi moto ungewaka...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Usijali.. Napenda ufanikiwe.. Nafurahi kama uliipenda ile style.na inaitwa fidodido dijitale...
 
safi sana km
mko pouwa...nilichomoka ghafla nilikua nawahi sehemu asubuhi
 
Madame B ndo kakuacha sio mimi. haukumbuki jana usiku tulipotoka makumbusho nlikusindikiza hadi kwako?. mia

We figganigga n'take radhi.
Nani aliondoka na Thanda,ye si alienda kulala Hotelini pale Morocco.
Me nikasepa,au hukumuona yule Baunsa aliyenifata na Rav 4?
Chezea.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…