Live From Mafao House: Mkutano wa Jukwaa la Wahariri -TEF na Mfuko wa Pensheni NSSF- NSSF Yatisha!, Una Thamani ya Trilioni 8.5 Ndani ya Muda Mfupi!.

Live From Mafao House: Mkutano wa Jukwaa la Wahariri -TEF na Mfuko wa Pensheni NSSF- NSSF Yatisha!, Una Thamani ya Trilioni 8.5 Ndani ya Muda Mfupi!.

Wanabodi,
Niko ndani ya Ukumbi wa NSSF Mafao House, nikiwaletea live ya mkutano wa Jukwaa la Wahariri -TEF na Mfuko wa Pensheni NSSF.

Mfuko wa NSSF umetisha!, sasa una thamani ya zaidi Shilingi Trilioni 8.5 ndani ya kipindi kifupi, na uendelevu wake, sustainability ni 90%!, hili sio jambo la kawaida!, ni NSSF Inatisha!.

Karibuni uandamane nami.

Paskali

Nini kipya wamefanya kupata mafanikio hayo? Au ndio hadithi za kipigaji.. tunaomba maelezo ya kina kwamba walikuwa hapa 4-5 years ago, wamefanya nini na nini mpaka kufikia hapo?
Vipi ugawaji mafao? miradi chechefu imefikia wapi? Madeni ya taasisi na serikali yamelipwa kwa kiasi gani na yamefikia wapi? from 4-5 years ago, na nani na nani ni wadaiwa wakubwa?

Isije ikawa ni vikao vya kuwaita waandishi , wahariri wakapewa bahasha ili waandike vizuri, mama afurahie, upigaji uendelee.

Kama mwandisi makini, usipojali bahasha, hayo ndio aina ya maswali na majibu utahitaji, kabla ya kuwapongeza kwa kusema NSSF Inatisha.
 
Pole sana, ni wewe kutojua tuu, ikitokea hauna ajira, badala ya withdraw michango yako, omba fao la kukosa ajira, utalipwa 60% ya mshahara wako wa mwisho mpaka upate kazi, huku ile milioni 40 yako ukigeuka milioni 120!.
P
Mbona Kikwete alitulipa fedha zote na maisha yaliendelea poa kabisa huu ni WIZI WA WAZIWAZI

Tutetee poti waulize hilo swali kwa KUWABANA
 
Balile ametoa maelezo ya utangulizi kuhusu, kwa kupongeza mahusiano mazuri kati ya NSSF na vyombo vya habari yaliyo asisiwa na Dr. Dau na Ofisa mahusiano wake Eunice Chiume, na kumpongeza mkurugenzi wa sasa Masha Mshomba na Osisa mahusiano wake madam Lulu Mengele. Siku zote NSSF inadhamini mikutano ya TEF.
P.
 
Mfuko umejaa ila wachangiaji wanasota wakisubiri kulipwa acha masihara wewe mwandishi.
Wanabodi,
Niko ndani ya Ukumbi wa NSSF Mafao House, nikiwaletea live ya mkutano wa Jukwaa la Wahariri -TEF na Mfuko wa Pensheni NSSF.

Mfuko wa NSSF umetisha!, sasa una thamani ya zaidi Shilingi Trilioni 8.5 ndani ya kipindi kifupi, na uendelevu wake, sustainability ni 90%!, hili sio jambo la kawaida!, ni NSSF Inatisha!.

Karibuni uandamane nami.

Paskali
 
Wanabodi,
Niko ndani ya Ukumbi wa NSSF Mafao House, nikiwaletea live ya mkutano wa Jukwaa la Wahariri -TEF na Mfuko wa Pensheni NSSF.

Mfuko wa NSSF umetisha!, sasa una thamani ya zaidi Shilingi Trilioni 8.5 ndani ya kipindi kifupi, na uendelevu wake, sustainability ni 90%!, hili sio jambo la kawaida!, ni NSSF Inatisha!.

Karibuni uandamane nami.

Paskali
Sasa wakati hao NSSF, wanaogelea Kwenye matrillion, sisi wastaafu tuliochangia hayo matrillion, tunakufa njaa Kwa kuzungushwa na huo Mfuko, bila kutaka kutulipa😭
 
Kibaya zaidi wanatumia kikokotoo umiza. Waulize wastaafu ambao leo ni siku yao Kimataifa (aka Siku ya Wazee Duniani) wanavyoteseka kimaisha.
Wangetuita WANACHAMA wangeona moto ....sasa waandishi wanamchango gani hapo zaidi ya kuvuta bahasha na chai ya mayayi wakitoka hapo ni MAPAMBIOO HUKO MAGAZETINI
 
Hongereni Kwa kikao Kiongozi,
Asante
Pili tumpongeze Mkurugenzi Mkuu wa huo mfuko kuweza kukuza Mfuko wake, hiyo ni dalili kwamba fedha za Wastaafu zipo salama.
Ni kweli, mafao ya wastaafu wa NSSF, yako salama kabisa.
Maoni yangu ni kuharakisha utoaji wa pension pamoja na fedha za wanufaika pasipo kuchelewesha.
Hiki ndicho NSSF inachokifanya.
Kuna watu wamefutwa kazi ama kuachishwa kazi hasa Sekta binafsi, lakini inachukua hadi miaka kuweza kupewa fedha zake za akiba.
Hapa ni ukosefu wa elimu, ukifutwa kazi au kuachishwa, unastahili kulipwa fao la ukosefu wa ajira mpaka utakapopata kazi tena.
Mwisho japo sio Kwa umuhimu, NSSF ipi ilikuwa bora kati ya hii ya Bwana Mshomba ama ile ya Dokta Dau?

Mkutano mwema 🙏
Kili zama na zama zake.
P
 
Daraja la Kigamboni-serikali kuu ibebe deni la NSSF tupite bure darajani.

Mradi wa Dege wauendeleze, hata kama ni kwa ubia.

Hivi Dk. Dau aliondoka na miswala ya kuswalia au mingine ilibaki?
Inasikitisha. Unachangia pesa yako ambayo inatumika kujengea daraja. Baada ya hapo daraja limekamilika na wewe huruhusiwi kupita kwenye hilo daraja hadi ulipie.
 
Nini kipya wamefanya kupata mafanikio hayo? Au ndio hadithi za kipigaji.. tunaomba maelezo ya kina kwamba walikuwa hapa 4-5 years ago, wamefanya nini na nini mpaka kufikia hapo?
Vipi ugawaji mafao? miradi chechefu imefikia wapi? Madeni ya taasisi na serikali yamelipwa kwa kiasi gani na yamefikia wapi? from 4-5 years ago, na nani na nani ni wadaiwa wakubwa?

Isije ikawa ni vikao vya kuwaita waandishi , wahariri wakapewa bahasha ili waandike vizuri, mama afurahie upigaji uendelee.
Kama mwandisi makini, usipojali bahasha, hayo ndio aina ya maswali na majibu utahitaji, kabla ya kuwapongeza kwa kusema NSSF Inatisha.
Asante sana kwa maswali elekezi, nitakuulizia.
P
 
Back
Top Bottom