Mzamiru kule hamna mchezaji.Huyu Mzamiru leo vipi
Yaani angekuwepo Boco pale juu wangekufa nyingi hawa leo, alafu Leo samata anacheza kama winga wa kushoto 11, fei na Lusajo wanacheza katikati.Tunakosa umakini, tunaharibu move nyingi nzuri
Utasikia Simba wanamtakaKipa wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu jambo la kitaifa hili tuweke upinzani pembeni kidogoUtasikia Simba wanamtaka
kashazeeka huyoSamata amepangwa akatembee tu uwanjani.
naniCha pili
Tunaongoza [emoji1241]nani