Live from Mkapa national stadium: WCQ African zone Tanzania vs Madagascar

Live from Mkapa national stadium: WCQ African zone Tanzania vs Madagascar

M
Mbwana samata leo aonyeshe zile kebehi walizokuwa wanamwita ni mzururaji uwanjani sii za kweli leo hii mechi ni muhimu kwake kwa.mstakabali wa timu yake mpya
Mzinguaji tu hajawahi kuwa na umuhimu kwenye timu ya taifa.
 
Samata kocha awe na ujasiri amtoe tuu jamaa mbinafsi sana lusajo yupo kwenye njia kila mara yeye anakomaa kivyake ni kama hamuamini hivi
 
Mchezo ulivyoanza tu nikajua kushinda ni muhali, mchezo wa kurudisha nyumba mpira badala ya kuupeleka mbele goli lilipo hauwezi kuzaa matunda, maza faka stars.
 


Link hiyo hapo kwa wanaotaka kuangalia

Ili ufanikiwe washa VPN Kisha chagua nchi united kingdom naona watanzania mechi ni yetu lakini wametubania
 
Yaani tunafanya ujinga wa hari ya juu, huyu mwamnyeto atoke haraka sana aingie Job ama Kennedy alafu Mzamiru Leo mpira umemkataa atoke aingie Mudadhiri.

Kule kushoto aingie winga Kama Idd Nado ili Samatta arudi kwenye nafasi yake namba 9 huyu Lusajo atoke.
Kwenye hayo magoli hakuna kosa la mwamnyeto bali Kapombe na mohamed
 
Yaani tunafanya ujinga wa hari ya juu, huyu mwamnyeto atoke haraka sana aingie Job ama Kennedy alafu Mzamiru Leo mpira umemkataa atoke aingie Mudadhiri.

Kule kushoto aingie winga Kama Idd Nado ili Samatta arudi kwenye nafasi yake namba 9 huyu Lusajo atoke.
Mzamiru katepeta, lile goli la kwanza makosa ya Tshabalala...
 
Samata anatafuta umaarufu binafsi kwenye mechi ya taifa anapata nafasi lakini hawapi nafasi wengine
 
Hiki kikosi ni kama vile Simba vs Madagascar (Kila la kheri Staz).

Halafu huyo Straika wa Madagascar -Abdallah Hakim, mbona kama ni Mzanzibar aliyezamia Madagascar!
Ni Mzanzibari au Mtanzania? Linapokuja suala la Nchi, Zanzibar hamuitambui
 
Manula mipira iliyokufa siku zote ni tatizo kwake ata simba ina wajibu wa kumtafuta kipa himara zaidi ya manula, ukweli ubora wa manula siku zote unatokana na uhimara wa beki zake ata pale simba sc anabebwa na ukuta wa onyango na wenzie
 
Dah ni aibu hii mechi taifa wakitoa dro au kufungwa ,Samata atolewe hana msaada
 
Samatta kacheza vzr sana acha chuki
Sasa chuki ya nini wakati timu ya taifa ni yetu wote au hufahamu tukishinda ni wote tumeshinda we dubwani la nchi gani? Mpira unachezwa hadharani kama akijirekebisha kipindi cha pili yule ndio star na mwamba wa Tanzania ila kwa kipindi cha kwanza ni kama alikua hamuamini Lusajo
 
Back
Top Bottom