Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Hivi kwani Samatta makosa yake ni yepi hasa leo mbona anashambuliwa sana.Dah ni aibu hii mechi taifa wakitoa dro au kufungwa ,Samata atolewe hana msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwani Samatta makosa yake ni yepi hasa leo mbona anashambuliwa sana.Dah ni aibu hii mechi taifa wakitoa dro au kufungwa ,Samata atolewe hana msaada
Mimi bado naamini ushindi upo japo hawa jamaa ni hatari sana hawaNgwe ya pili, acha tuone
Mkuu bado kuna makosa mengi tunafanya... Acha tusubiriMimi bado naamini ushindi upo japo hawa jamaa ni hatari sana hawa
Aya endeleza magubu yako sijui unaangalia mechi ipi?Sasa chuki ya nini wakati timu ya taifa ni yetu wote au hufahamu tukishinda ni wote tumeshinda we dubwani la nchi gani? Mpira unachezwa hadharani kama akijirekebisha kipindi cha pili yule ndio star na mwamba wa Tanzania ila kwa kipindi cha kwanza ni kama alikua hamuamini Lusajo
Hawa ndio wanairudishaga stars siku zote. Hata pale pa draw hukawii kusikia Kapombe kamsaidia Manula kudaka.Kabisa, yaani kapombe na MOHAMED walikuwa wanamuangalia tu. Sijui wameidharau timu??
Labda wamejifunza kumheshimu mpinzani.Na hilo la tatu si litarudi