Live from Mkapa national stadium: WCQ African zone Tanzania vs Madagascar

Live from Mkapa national stadium: WCQ African zone Tanzania vs Madagascar

Aya endeleza magubu yako sijui unaangalia mechi ipi?
We jamaa akili yako inatatizo sasa unahisi mimi niwe na gubu na samata si nitakuwa mpumbavu wa mwisho. Mtu analipwa mara 100 zaidi yangu anakipaji mara 1000 zaidi yangu. Samata ni bora sana ila kwa kipindi cha kwanza amezingua sehemu nyingi

Wakati mwingine utofautishe maoni na chuki
 
We jamaa akili yako inatatizo sasa unahisi mimi niwe na gubu na samata si nitakuwa mpumbavu wa mwisho. Mtu analipwa mara 100 zaidi yangu anakipaji mara 1000 zaidi yangu. Samata ni bora sana ila kwa kipindi cha kwanza amezingua sehemu nyingi

Wakati mwingine utofautishe maoni na chuki
Ww ni mwe..h.u gubu linapimwa kwa level ya mshahara au suala la kisaikolojia?!
 
Naona wabongo wamemchoka Samatta hapa ninapoangalia mpira kila kosa unasikia Samatta huyo [emoji23] mara kocha amtoe Samatta tu [emoji2]
 
Yote heri, bora pointi tatu zimepatikana nyumbani
 
Tunaongoza kundi

Screenshot_20210907-165600_LiveScore.jpg
 
We jamaa akili yako inatatizo sasa unahisi mimi niwe na gubu na samata si nitakuwa mpumbavu wa mwisho. Mtu analipwa mara 100 zaidi yangu anakipaji mara 1000 zaidi yangu. Samata ni bora sana ila kwa kipindi cha kwanza amezingua sehemu nyingi

Wakati mwingine utofautishe maoni na chuki
Nina wasiwasi, mpira hauujui au haufahamu kabisa.
Team nzima linacheza ovyo ila lawama kwa Sammata, Afu Unadhani hao Madagascar ni walevi, kwamba Sammata awe anafanya anachojiskia bila resistance?
 
Bongo sisi bado sana, tumecheza kama tupo ugenini vile na Madagascar kama yupo nyumbani...
 
Novatus dismas ni kipaji kikubwa sana.
Inabidi azam wamrudishe nyumbani.
Jinsi alivyokuwa anatafuta space na kusambaza mipira utadhani transformer ya tanesco..! What a player.! Again with feisal watakuja kutuletea combination hatari sana..
Team yetu imeimprove sana kuliko kipindi cha amunike ambapo tulikuwa tunacheza hovyo na kubutua.

Mwamnyeto na nyoni ni combination nzuri japo nyoni anazidiwa kasi sometime..
Ningependekeza mwamnyeto na job wajaribiwe japo simpangii kocha wetu na wala sijui lolote kuhusu soka kuliko yeye..
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Baada ya muda mrwfu kuwa sitizami game za stars, leo nimetizama timu yangu ya taifa..

Nilichojifunza..

Mosi, si kweli kuwa samata hajitumi national team, jamaa anaipenda timu yake uchawi anaocheza nao, tizama kipindi cha pili kwanza alicheza kama winga wa kushoto, jitihada zake na mchango wake alionekana kama amejitolea sababu mipira mingi ilikuwa inamfikia, ila kipindi cha pili baada yya sub akaenda kucheza CF, mipira haimfikii, akawa anaonekana hana analolifanya uwanjani(huyu ndio samatta anaelalamikiwa na wa tz)

Pili, safu yetu ya viungo bado, kwa game ya leo wangekuwa na mipango mizuri, (akili yaa kushambulia) tungepata zaidi na wao wasingepata, mudathir na mzamiru wana matatizo ya kupoteza mipira, wanapiga pasi nyingi fyongo, na hata ambazo ni sahihi zinakuwa hazina madhara wakati ambao inahitajika pasi yenye madhara.

Tatu.. Kibabage hazina ya baadae, fei toto afanye michakato asoge mbele yule lusajo anaweza luwa striker mzuri kuna vitu anapungukiwa, huyu dismas hazina ya baadae.. Taifa kama taifa hatuna kiungo mshambuliaji maridhawa.
 
Ww ni mwe..h.u gubu linapimwa kwa level ya mshahara au suala la kisaikolojia?!
Mwehu wewe unaye jaribu kulazimisha kitu ambacho hakipo mchezaji anaweza kuwa mzuri lakini akizingua baadhi ya mechi mbona imetokea mara nyingi kwa firmino, Pogba na wachezaji wengine wengi kwani samata ni Mungu yeye ukisema iwe nongwa?
 
Baada ya muda mrwfu kuwa sitizami game za stars, leo nimetizama timu yangu ya taifa..

Nilichojifunza..

Mosi, si kweli kuwa samata hajitumi national team, jamaa anaipenda timu yake uchawi anaocheza nao, tizama kipindi cha pili kwanza alicheza kama winga wa kushoto, jitihada zake na mchango wake alionekana kama amejitolea sababu mipira mingi ilikuwa inamfikia, ila kipindi cha pili baada yya sub akaenda kucheza CF, mipira haimfikii, akawa anaonekana hana analolifanya uwanjani(huyu ndio samatta anaelalamikiwa na wa tz)

Pili, safu yetu ya viungo bado, kwa game ya leo wangekuwa na mipango mizuri, (akili yaa kushambulia) tungepata zaidi na wao wasingepata, mudathir na mzamiru wana matatizo ya kupoteza mipira, wanapiga pasi nyingi fyongo, na hata ambazo ni sahihi zinakuwa hazina madhara wakati ambao inahitajika pasi yenye madhara.

Tatu.. Kibabage hazina ya baadae, fei toto afanye michakato asoge mbele yule lusajo anaweza luwa striker mzuri kuna vitu anapungukiwa, huyu dismas hazina ya baadae.. Taifa kama taifa hatuna kiungo mshambuliaji maridhawa.
Umeongea point
 
Wakuu naomb mnieleweshe hapa, hivi tunatakiwa tuwe nafasi ipi ili twende level nyingine hadi kufikia kushiriki world cup na hizo levels/stages ni zipi hadi kufika hapo??
 
Novatus dismas ni kipaji kikubwa sana.
Inabidi azam wamrudishe nyumbani.
Jinsi alivyokuwa anatafuta space na kusambaza mipira utadhani transformer ya tanesco..! What a player.! Again with feisal watakuja kutuletea combination hatari sana..
Team yetu imeimprove sana kuliko kipindi cha amunike ambapo tulikuwa tunacheza hovyo na kubutua.

Mwamnyeto na nyoni ni combination nzuri japo nyoni anazidiwa kasi sometime..
Ningependekeza mwamnyeto na job wajaribiwe japo simpangii kocha wetu na wala sijui lolote kuhusu soka kuliko yeye..
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Pancho, pancho pancho, nakuita kama marehemu omari omari alivyoita kwenye ngoma yake kupata Ni majaaliwa.

Yaani mchezaji atoke maccabbi tel aviv, nusu ulaya arudi kucheza ligi ya bongo.. Wamuache akifeli kule ndio arudi home na sio kumrudisha hapa.
 
Back
Top Bottom