Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Nyamagana Mwanza Uchaguzi wa Madiwani kata ya Mkuyuni na Iyombo umeahirishwa . . . . : ITV

.
Huu ni utekelezwaji wa mikakati iliyokuwepo kwenye waraka wa kabwe. Ccm mtajaribu kila mti hata vivyo yote itateleza.
 
Chanel ten: Urais jimbo la segerea cuf 717, ccm 846, chadema 883

Mkuu, haya majumuisho ya mapema hivi inaweza isiwe kweli. Mfano, bado kuna vituo ambavyo bado wanahesabu kura.

Kuna maelezo gani waliyoyatoa.
 
Shukrani wote mnaotuletea news, nipo safarini hapa visiwani st Lucia na internet ipo slow lakini tupo pamoja.
note: manapotuletea habari tenganisheni ubunge na urais.
 
Kutoka Hai Kilimanjaro:

Daniel Mjema, Hai
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, kwa tiketi ya Chadema, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho, anatuhumiwa kumpiga vibao viwili mwangalizi wa ndani wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Nassir Othman (20).

Kamanda wa Polisi mkoa Kilimanjaro, Lucas Ng'hoboko alilithibitishia kupokea taarifa za tukio hilo lakini akasema asingeweza kulizungumzia kwa undani kwa kuwa maofisa wake aliowatuma walikuwa hawajarejea.

Hata hivyo mkuu wa wilaya ya Hai, Dk Norman Sigalla ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama wilaya ya Hai, alidai kuwa tukio hilo lilitokea saa 8:45 mchana katika kituo cha Zahanati ya Kambo eneo la Msufini.
 
Igoma Mwanza:

Mkuu Superman, do the neeedful once more - mwambie Invisible aunganishe hizi threads ili na wewe upumzike kuchomoa posts huko unapozitoa! Tupo excited kichizi na kwa styke hii tutamiss baadhi ya habari muhimu mkuu!

Kuna uwezekano wa KUZUIA watu kuanzisha THREADS MPYA!??
 
Kutoka Arusha:


Sunday, 31 October 2010 19:21 0diggsdigg



Zephania Ubwani, Arusha

MSIMAMIZI Mwandamizi wa kituo cha Shule ya msingi Sombetini mkoani Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi, baada ya daftari la wapiga kura lenye karatasi 400 kupotea katika kituo anachokisimamia.



Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Basilio Matei alisema kuwa msimamizi anashikiliwa na polisi akihojiwa kuhusiana na upotevu huo.



Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo Estomih Chang'a alisema kuwa atatoa tamko baadaye, ingawa msimamizi huyo aliendelea kuwekwa rumande kihojiwa.
 
Kutoka Musoma:


Habari ambazo nimezipata kutoka musoma ni kuwa Nyerere wa CHADEMA Musoma anaongoza katika kata 14, tena kwa mbali kabisa. Chanzo kinaaminika kabisa. Wananchi wako barabarani kuhakikisha usindi hauporwi. Kazi nzuri wanajeshi wa MSM
 
Kutoka Kilimanjaro:

Matokeo kutoka kilimanjaro
JIMBO LA HAI

Kituo cha Kata ya Machame Kusini

URAIS
1. Slaa - CHADEMA - 77
2. Kikwete - CCM - 55

UBUNGE
1. Freeman Mbowe - CHADEMA 95
2. Godwin Fuya Kimbita - CCM 39

UDIWANI
1. Richard Mtui - CHADEMA - 98
2. Naseeb - CCM -36
 
Mkuu Superman, do the neeedful once more - mwambie Invisible aunganishe hizi threads ili na wewe upumzike kuchomoa posts huko unapozitoa! Tupo excited kichizi na kwa styke hii tutamiss baadhi ya habari muhimu mkuu!

Kuna uwezekano wa KUZUIA watu kuanzisha THREADS MPYA!??

Mkuu,

Kama tulivyoongea kwenye PM.
 
Matokeo biharamulo (mavota village)
Urais
ccm 376
chadema 341
cuf 13

ubunge
ccm 396
chadema 322
cuf 10

udiwani

ccm 315
chadema 474
cuf 0
 
Sijui Nini Anaripoti:

Iringa kumekucha...ngome ya ccm yaanguka!!
Bado naendelea kukusanya matokeo kutoka vituo mbalimbali ila vyooooye ambavyo nimeshapita Chadema wamefunika mbaya...ccm wameachwa mbali mnoo!!

Sijaandika namba kamili sababu kuna pilika pilika isiyo ya kawaida...watu wanazumguka kituo hadi kituo kushangilia ushindi wa chadema...vituo vichache ambavyo nna uhakika navyo hadi sasa stendi kuu, mkwawa, makorongoni..vingine cvijui hata majina... ambavyo vyote chadema wameoongoza kwa kiasi kikubwa mnooo!! mji mzima hivi sasa ni kelele za ushindi tu!!
 
1) Kituo Cha Bwawani-Unguja

Maalaim seif CUF 593
Dr Shein CCM 141

Jimbo la Chake Chake-Pemba
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
Kituo cha Ngwachani
Maalim CUF 623,
Shein CCM 132.

Wadi ya vikokotoni
Maalim Seif CUF 204
Dr Shein CCM 96

Ziwani -Pemba
*
Maalim Seif CUF 1080
Dr Shein CCM 60

Malindi - Unguja
Maalim Seif CUF 104
Dr Shein CCM 28
 
Ni kweli Superman, SEGEREA ilikua ni baadhi ya majimbo tu, sawa na RUKWA ambako CHADEMA tunaongoza kwenye vituo vinne vilivyoriptiwa na chanel ten muda mfupi uliopita, kama MODE hajalala kwanini wote tusihamie hapa kuliko hiki kuzunguzungu tunachokipata? hasa ukizingatia leo tupo home wengi wanatumia simu!!!just an idea
 
friendship
  • Write a comment...
    41531_533398852_5811292_q.jpg
Joyce Kiria haya sasa kumekucha ktk majimbo yafuatayo, Arusha mjini, kijana Lema ameshinda, Hai Mbowe anaongoza, kawe Halima Mdee, ubungo Mnyika, wote ni chadema ubunge....


app_2_2254487659_1473.gif
39 minutes ago via Facebook for BlackBerry · Comment · UnlikeLike · View feedback (36)Hide feedback (36)


  • You, Beatrice I. Fergie and 13 others like this.
    • Mercy Nnko Is it true Joy? Thx God.36 minutes ago · LikeUnlike

    • Emmanuel Alphonce Good newz!36 minutes ago · LikeUnlike

    • Msaki Next-level Ucsahau na eneo jimbo segerea,chadema juu so far! Vivaaaaa35 minutes ago · LikeUnlike

    • Prudence Teweli safii sisy35 minutes ago · LikeUnlike

    • Stunner Don Napacho Yeah..mpango mzimah33 minutes ago · LikeUnlike

    • Godlisten Shayo Jamani ya ukweli hayo.33 minutes ago · LikeUnlike

    • Nicholaus Tumain anaye mpnga dr ulinzi joy32 minutes ago · LikeUnlike

    • Frank Tairo Braaaaah32 minutes ago · LikeUnlike

    • Eric Solomon arusha tumeshangaa....31 minutes ago · LikeUnlike

    • Aaron Ringo safi sana Joy, hapa Mwanza kijana Wenje wa CHADEMA nae anaongoza kwenye jimbo la Nyamagana kamwacha Masha ila bado kuna vituo vichache tu vimebaki kutangaza matokeo.30 minutes ago · UnlikeLike · 3 peopleLoading...

    • Alfan Mlali Wera weraaaaaaaa!26 minutes ago · LikeUnlike

    • Simon Millanzi Weraaaaaaaaaaaaaaa!!!!!26 minutes ago · LikeUnlike

    • Jesca George ‎@Erick kwa nini mmeshangaa? Hakuna linaloshindika ni uamuzi tu! CHADEMA WERAAA hadi vijijinh!!!15 minutes ago · LikeUnlike

    • Amir Mhunzi Jaman nyie w2 mtaniua kw furaha yan!JOYCE ntafutie Kwa ZITO na NDESAMBURO mambo yakoje!mana najua huko nako kw2 kabsa yan!15 minutes ago · LikeUnlike

    • Jfsonic Xpertz safi hiyo, wasiwasi wangu wazee wa kuchakachua tu. Wakiona mambo magumu.13 minutes ago · LikeUnlike

    • Chriss Zait Hureeè!13 minutes ago · LikeUnlike

    • Sanjas Manuel CHADEMA! CHADEMA! CCM, 2meichinjia ziwa Victoria......raha 2pu huku4 minutes ago · LikeUnlike

    • Consolata Olotu Thx God..Chadema 2po juuu! Mungu twahitaji msaada wako!3 minutes ago · LikeUnlike

    • Jesca George Hureeeee! VIVA CHADEMA, WOYEEE 3 minutes ago · LikeUnlike

    • Kelvin Tito Chadema iko juu banaa, mnyika juu, slaa juu.3 minutes ago · LikeUnlike

    • Joseph Kivuruga People..? Jimbo la Iringa mjini mchungaj Msigwa wa chadema anakimbiza mbaya.2 minutes ago · Like

 
Matokeo ya awali: UDSM
Urais:

CCM - 27
CHADEMA - 142
CUF - 3

Ubunge:

CCM - 22
CHADEMA - 142
CUF - 6

Hii nimeipenda yani matokeo ya urais na ubunge ya chadema sawa sawa kweli watu walikuwa hawataki mchezo huko
 
Mkuu, hawa MODS zijui vipi leo.

Nimejaribu kuwasiliana na moja lakini naona bado hawajaziunganisha.

Kumekuwa na dublicate ya threads nyingi sana . . . .

Naanza kuchoka Mkuu.

lakini tujitahidi tu . . . .
 
Matokeo biharamulo (mavota village)
Urais
ccm 376
chadema 341
cuf 13

ubunge
ccm 396
chadema 322
cuf 10

udiwani

ccm 315
chadema 474
cuf 0

Hiyo hapo juu inaonekana imechakachuliwa tayari...................madiwani wapate nyingi lakini urais na ubunge pungufu....somethin ain't right!
 
Back
Top Bottom