Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Asante TUSKER
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zanzibar presidential results
1) kituo cha bwawani-unguja
maalaim seif shariff cuf 593
dr shein ccm 141
jimbo la chake chake-pemba
kituo cha michakaini
maalim seif cuf 956
dr. Shein ccm 246.
kituo cha ngwachani
maalim 623,
shein 132.
Maalim Seif anachukua Nchi Zenji . . . . .
SAWA SAWA?
Seif kama ameshinda Unguja, Pemba ni automatically . . . . .
Zanzibar Presidential Results
1) Kituo Cha Bwawani-Unguja
Maalaim seif Shariff CUF 593
Dr Shein CCM 141
Jimbo la Chake Chake-Pemba
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
Kituo cha Ngwachani
Maalim 623,
Shein 132.
I can agree with you that, CCM watakachofanya ni kumpa Seif Zenji na bara kuchakachua ili kutoa sura kamili kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Ndo kusema CCM bye bye? Naanza sherehe.CUF Zanzibar, CHADEMA bara
Mwingine kafika kituoni anaonekana kwamba ni MAREHEMU!!!! NEC na vituko vyao
Afadhali wanetu hawatamkuta huyu mdudu anaeitwa CCM, HATIMAE
Matokeo ya ubunge vituo viwili vya block T - Mbeya Mjini ni
Kituo A
chadema 140,
ccm 33,
Kituo B
chadema 115,
ccm 15.
Nita-update mara nipatapo matokeo mengine.
Pia, vijana wamejitokeza kulinda kura vituoni kuhakikisha hakuna kinachoingia au kutoka.