Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hawa MODS zijui vipi leo.
Nimejaribu kuwasiliana na moja lakini naona bado hawajaziunganisha.
Kumekuwa na dublicate ya threads nyingi sana . . . .
Naanza kuchoka Mkuu.
lakini tujitahidi tu . . . .
Mwakibete Mbeya?
Hiyo hapo juu inaonekana imechakachuliwa tayari...................madiwani wapate nyingi lakini urais na ubunge pungufu....somethin ain't right!
Mimi niko hapa Kata ya Kimandolu anakotoka Meya wa manispaa ya Arusha ndugu Laurent Hedi. Tayari matokeo yametoka na ameshindwa vibaya na Ndugu Estomih malla wa CHADEMA.
Katika kata hii ya Kimandolu CHADEMA inaongoza kwa matokeo yote kuanzia Rais, Ubunge na Diwani.
Kwa sasa hapa mtaani hakufai na hakuna kulala wananchi wameingia mtaani wanashangilia ushindi.
Figure nitawapatia baadaye kidogo
Gerald2008 said:Mimi niko hapa Kata ya Kimandolu anakotoka Meya wa manispaa ya Arusha ndugu Laurent Hedi. Tayari matokeo yametoka na ameshindwa vibaya na Ndugu Estomih malla wa CHADEMA.
Katika kata hii ya Kimandolu CHADEMA inaongoza kwa matokeo yote kuanzia Rais, Ubunge na Diwani.
Kwa sasa hapa mtaani hakufai na hakuna kulala wananchi wameingia mtaani wanashangilia ushindi.
Figure nitawapatia baadaye kidogo
Kokol said:Kwa taarifa nyepesi toka mwanza nyamagana- masha wa ccm yuko hoi bin taabani mbele ya mgombea wa chadema kwa mbali sana. Karibu sehemu zote za udiwani chadema washachukuwa ushindi tayari. Pia ilemela dialo yuko kwenye intesive care unit, chadema inaongoza kwa juu sana. Hivyo mwanza wamempeleka slaa ikulu.
Kituo Nkindo
Chadema 188
CCM 144
CUF 1
Udiwani
Chadema 169
CCM 68
Mkuu, hawa MODS zijui vipi leo.
Nimejaribu kuwasiliana na moja lakini naona bado hawajaziunganisha.
Kumekuwa na dublicate ya threads nyingi sana . . . .
Naanza kuchoka Mkuu.
lakini tujitahidi tu . . . .
URAIS
Kituo: Shule ya Msingi Peramiho "B" KATA YA MAPOSENI
CHADEMA 116
CCM 82
CUF 1
APPT 1
UBUNGE: CCM imemwacha CUF mbali sana. Jenista Mhagama anaongoza.
Kituo: Jengo la Maarifa ya Nyumbani: KATA YA MAPOSENI
URAIS:
CCM 147
CHADEMA 42
UBUNGE: KAMA HAPO JUU
Mkubwa Maxence kasema yupo analifanyia kazi! Pamoja sana
Yafuatayo ni matokeo ya kura YA Urais iliyopigwa katika Campus ya SUA (Main) kwa vyama viwili muhimu
GUEST WING A
CHADEMA= 44
CCM = 44
GUESTWING B
CHADEMA = 64
CCM = 56
MULT-PURPOSE HALL A
CHADEMA = 54
CCM = 31
MULTI-PURPOSE HALL B
CHADEMA = 62
CCM = 50
MULTI-PURPOSE HALL C
CHADEMA = 64
CCM = 47
Nawasilisha wakuu