Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
Katika vituo vyote vya ITV Dr. Slaa ameongoza kwa kati ya kura 15 na 20. Hii ni pamoja na udiwani na ubunge.Kuna matokeo ya vituo vya ITV yametangazwa sasa hivi. Sikuweza kuchukua tarakamu ila inaonekana kwamba CHADEMA wamepiga bao.
Gurta said:Kituo Anna Gamazo Sec
prez
ccm - 138
chadema - 170
mbunge
ccm - 142
chadema - 161
diwani
ccm - 145
chadema - 165
Duh CHADEMA wanatisha loh............................ Hongereni sana watanzania mmeonyesha ukomavu kisiasa sasa tusubiri serikali nayo ionyeshe ukomavu wa demokrasia. MUNGU Ibariki Tanzania, MUNGU Wabariki Watanzania.
Mmmh! haya matokeo mbona siyaelewi? Hili si jimbo la Mzee Ndesa hili?
Vituo vyote vya Makongo juu (ITV1 hadi ITV5) Chadema anaongoza kwa ngazi zote urais, ubunge na udiwani.
Source: ITV
Kwa mujibu wa Star TV:
Moshi:
Mawenzi:
Urais:
CCM 67
CHADEMA 40
NCCR 1
Ofisi ya misitu:
Urais
CCM 75
CHADEMA 69
Ubunge:
CCM 68
CHADEMA 107
Mawenzi Shule ya Msingi:
Urais:
CCM 79
CHADEMA 42
Ubunge:
CCM 55
CHADEMA 54
Kituo kidogo Mawenzi:
Urais:
CCM 147
CHADEMA 72
Ubunge:
CCM 102
CHADEMA 62
Mmmh! haya matokeo mbona siyaelewi? Hili si jimbo la Mzee Ndesa hili?
Kwa mujibu wa Star TV:
Moshi:
Mawenzi:
Urais:
CCM 67
CHADEMA 40
NCCR 1
Ofisi ya misitu:
Urais
CCM 75
CHADEMA 69
Ubunge:
CCM 68
CHADEMA 107
Mawenzi Shule ya Msingi:
Urais:
CCM 79
CHADEMA 42
Ubunge:
CCM 55
CHADEMA 54
Kituo kidogo Mawenzi:
Urais:
CCM 147
CHADEMA 72
Ubunge:
CCM 102
CHADEMA 62
Mmmh! haya matokeo mbona siyaelewi? Hili si jimbo la Mzee Ndesa hili?