Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Mtoka jasho anatupasha:

Chadema yatetea jimbo la karatu
Habari zilizotufikia hivi punde chadema yapeta Karatu... more details to come mitaa ya karatu ya zizima kwa vifijo. Kura za urais Dr slaa yupo juuu sana.
 
Kutoka Ulanga, Moro kwa Wapogolo

wananchi wa kata ya malinyi wamemchagua ndg said tira kuwa diwani wao, kura zilizo mpa ushindi diwani mteule tira zimetoa taswira na ishara kuwa mgombea ubunge wa chadema prof. Mlambiti anayo nafasi ya kumshinda tabibu haji mponda wa ccm. Mpaka sasa prof. Mlambiti amepata kura 70% ktk tarafa za malinyi na ngoheranga. Wagombea wote wawili wanatokea tarafa ya mtimbira na wote ni wapogoro, kazi hapa iko kwa ccm sasa kuchakachua itete,lupiro na mtimbira kwenyewe maana malinyi wao wameiunga mkono chadema.
 
IY na DC na wakuu wengine;

Asante sana kwa ushirikiano wenu.

Naomba ruksa sasa niwaache nipate kupumzika kidogo.

Kila la heri:
 
IY na DC na wakuu wengine;

Asante sana kwa ushirikiano wenu.

Naomba ruksa sasa niwaache nipate kupumzika kidogo.

Kila la heri:


Poa sana Mkuu...tutajaribu kuvuta vuta kidogo...I still have about 3hrs..

CIAO
 
Asante sana mzee Dark City tupo pamoja mzee leta mambo mkuu. Naona Superman amechoka sana huenda ameenda kula na kupumzika. Wajumbe tuendelee kupasha habari.
 
Naombeni ruhusa nipumzike nimechoka dunia nzima. Nikistuka 9t kali narudi tena. Alamsiki!
 
Kilombero hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!


TGS D said:
Habari za uhakika ni kwamba chadema wamechukua kilombero. Hongera mh. Regia Mtema.

Change is real!
 
Kata ya Majengo, Tanga.

CCM = Zaidi ya 1,000
CUF = 970
CHADEMA = 150
 
IY na DC na wakuu wengine;

Asante sana kwa ushirikiano wenu.

Naomba ruksa sasa niwaache nipate kupumzika kidogo.

Kila la heri:
Haina mbaya mzee, Unastahili pole kwa kazi nzuri uliyoifanya Big up Mwanawane!!!!
 
Kuna watu kweli huu ni mwaka wa shetani kwao...Sisi ni kicheko tu,

Fisadi Original said:
Habari za kuaminika toka Rombo ni kwamba, Basil Mramba is out....................
 
IY na DC na wakuu wengine;

Asante sana kwa ushirikiano wenu.

Naomba ruksa sasa niwaache nipate kupumzika kidogo.

Kila la heri:
Asante sana mkuu na pongezi sana kutoka huku Ughaibuni mungu awe nawe. Tunaomba hayo mabadiliko yawe kwetu Watz. Usiku mwema mkuu
 
Kwa mujibu wa wa ITV jimbo la Tanga inaonekana CUF wanaongoza katika ngazi zote lakini wasimamizi hawajataka kuweka matokeo au kupeleka matokeo kwenye jimbo.
 
Iringa nako...Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Brooklyn said:
wadau matokeo iringa mjini kata zote yameshatangazwa: Ccm wameshinda kata 2 na chadema wameshinda kata 14. Jimbo lina kata 16. Source: Star TV
 
Jimbo la Kawe...S/msingi Mbezi Beach...

Rwabugiri said:
raisi
CHADEMA 100
CCM 68
CUF 1
HARIBIKA 4
UBUNGE
CHADEMA 102
CCM 55
NCCR 7
CUF 1
UDP 1
APPT 1
HARIBIKA 3

DIWANI
CHADEMA 98
CCM 61
CUF 4
NCCR 2
MBOVU 5
 
Wapo wapi Malaria Sugu, Maggid na Zawadi Ng'ombe!?

Najua wapo hapa wanatumia IDs mpya!
 
Kutoka Tanga,

Jeykeiwaukweli said:
Habari nilizozipata sasa hivi

CCM 89%

CUF 8%

Chadema 3%

nitaendelea kuwaabalisha maana CCM inaongoza hata mikoa mingine
 
Back
Top Bottom