Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Singida kama ilivyotarajiwa CCM wanaongoza, habari si nzuri kwa mpiganaji Tundu Lisu....
 
ITV wanatangaza kuwa Karatu hapatoshi....Ngoma inogire!
 
Hadi sasa Chadema imeshinda katika kata 12 kati ya 14 katika jimbo la Karatu. Kata 2 bado wanaendelea kuhesabu kura. Hizi ni katika ngazi zote.
Source: ITV
 
Singida kama ilivyotarajiwa CCM wanaongoza, habari si nzuri kwa mpiganaji Tundu Lisu....

amepanda mbegu.....ni mpiganaji imara,Inajulikaana kuwa SINGIDA ...ccm Imejikita na upinzani ndio kwanza unaingia huko.....taratibu...wazee tutafika.....vyovyote itakavyokuwa tumpe hongera askari wa miguu Lissu...
 
amepanda mbegu.....ni mpiganaji imara,Inajulikaana kuwa SINGIDA ...ccm Imejikita na upinzani ndio kwanza unaingia huko.....taratibu...wazee tutafika.....vyovyote itakavyokuwa tumpe hongera askari wa miguu Lissu...

Kweli mkuu..Tanzania na hata Singida ya baada ya Tarehe 31/10/2010 haitabaki ile ile...!
 
Wakuu mbona Zanzibar hakuna newz kabisa kulikoni huko CUF vip,!!!!!!!!! AU uchakachuzi bado unatake place?
 
CBE Dodoma

MwanaCBE said:
RAIS- CHADEMA 111, CCM 86, CUF 1. BUNGE- CHAD 104, CCM 90, CUF 4, UPDP 3. DIWANI- CHAD 118, CCM 81. Hii ni suprise kubwa hapa kwa CCM ndugu zangu.
 
Habari za Monduli,


Jeykaywaukweli said:
Kuna habri nimezipata sasa hivi kuwa watu wa monduli
CCM wanaongoza kwa baadhi ya kata wakifuatiwa na chadema

Kweli mwaka huu naamini CCM watashinda kwa 80%+

Nitaendelea kuwajuza
 
Kutoka Kasulu...More details later,

Mtokajasho said:
Kweli ule usemi sauti ya watu ni sauti ya Mungu unaanza kushika hatamu jinsi muda unavyo zidi kuyoyoma... Chadema yapeta Kasulu kiti cha ubunge.... ngojea nicheki yanayojiri Kibondo.
 
Mkuu Dark City naona JK waukweli ameamua leo. Ha h ah haaaaa! safi sana mzee nimekusoma Dark City tupo pamoja mzee.
 
Mkuu Dark City naona JK waukweli ameamua leo. Ha h ah haaaaa! safi sana mzee nimekusoma Dark City tupo pamoja mzee.

Huyo achana naye...Sisi tuko unbiased kwa sababu hatulipwi na mtu yeyote. Hao walio kwenye payroll za mafisadi achana nao kabisa...Ngoja tuvute vute muda ile sherehe rasmi zianze.
 
Kasulu na Kibondo muhimu wazee, mwenye info plz!!!! Halafu anybreking newz toka MOSHI ni muhimu sana kujua final
 
nadhani sasa JK atakubali kuwa JAMII FORUMS ni moto wa kuotea mbali.......na siyo kama alivyotubeza........damn...................wanaJF mpaka sasa.........ninawapongeza sana sana..........you fought a very good FIGHT.....................
 
nadhani sasa JK atakubali kuwa JAMII FORUMS ni moto wa kuotea mbali.......na siyo kama alivyotubeza........damn...................wanaJF mpaka sasa.........ninawapongeza sana sana..........you fought a very good FIGHT.....................


Pamoja mkuu...Hili ni zege..halilali na hapa halali mtu hadi kieleweke..
 
Nimeshangazwa sana na Vituo vya dodoma BUNGE, Shinyanga na Mwanza maana CCM ndio zilikuwa ngome lakini takwimu zinaonesha wamelala chali. Hofu yangu ipo vijijini Uchakachuzi na Uelewa mdogo wa raia huenda ukaharibu mambo
 
nadhani sasa JK atakubali kuwa JAMII FORUMS ni moto wa kuotea mbali.......na siyo kama alivyotubeza........damn...................wanaJF mpaka sasa.........ninawapongeza sana sana..........you fought a very good FIGHT.....................

Naam, Habarti ndiyo hiyo mzarau mwiba mguu huota tende. Washauri wake walimlaghai
 
Back
Top Bottom